Kweli mambo yanaenda yanaonyesha matumaini kidogo, kidogo, jana mitaa ya tegeta nimeona ffu wako kwenye msafara wa chadema, tena ndani ya pick up ya chadema!!!na bonge la tabasamu!!, ila lile jamaa bora limeondoka zake!!!kwani siasa za upinzani lilizifanya kuwa haramu!!
Huo ushauri au unataka kumuingiza kwenye matatizo?!
Sasa kesi ya jinai utaanziaje mahakamani?!polisi ndio wanapeleka kesi baada ya upelelezi wa awali kukamilika,
Sasa wewe lengo lako ni kumkomoa au ni wewe kupata haki yako?!kosa hilo lina dhamana, je kama ametimiza masharti ya dhamana, asiachiwe?!! Wewe fuatilia hapo uonyeshwe mpelelezi wa kesi yako, upelelezi ukikamilika mtakutana mahakamani!!
Kama atakuwa tayari kukulipa myamalize hapo hapo, ndio...
Hiyo ni imani tu mkuu!!labda kama mtu amefanya kwa bahati mbaya tu, lakini kwa haya mauaji ya kupanga!!ukiona mtuhumiwa amekwenda kuonyesha mahali alipofukia mwili, jua hicho kipondo chake alichopata si cha kawaida!!
Ni sawa sawa na unapoona jambazi sugu amekwenda kuonyesha silaha!!jua alikuwa...
Unashangaa nini, kwenye mambo ya mapenzi, prof.wa magonjwa ya kina mama, anaweza akashauliwa na std seven juu ya jambo kama hilo na akalikubali!!
Sembuse mwanaisha ndala mbovu.
Mbona tayari wameshaanza kulalamika, leo hii tu kwenye mabank ni foleni ndefu, kwenye supermarkets wanagombania vyakula hasa vinavyotoka nje, wanajua kabisa, ndani ya muda mfupi vitaadimika!!
Shida yao, hasa ni waziri wa nishati, toka kalemani aondolewe, wanaona kama makamba ndio tatizo, wakati kama ni tatizo basi ni aliyemteua, na sio wizara hiyo tu, kote ni yale yale tu., kwa ccm upigaji hauwezi kuisha kamwe.
Tatizo lenu hasa mwendazake masalia mna chuki binafsi na january, ina maana kama kila kitu kibaya kinafanywa naye, aliyemteua anaona, basi ndio mwenye matatizo!!nchi hii upigaji haukuwahi kuisha na hautakuja kuisha, kama watu, na mambo ni yaleyale miaka yote.
Yapo lakini sio ya kishenzi kama haya ya kiafrika!!kule utasikia mtu kapigwa risasi, lakini haya yetu mtu anachukua viungo vya binadamu mwenzake!!mala wivu wa mapenzi.
Umasikini na roho mbaya, ni sawa na pipa na mfuniko!!kwani masikini huwa inafikia ana ona hana kitu cha kupoteza hata kwa tendo ovu ambalo atalifanya!!
Ndio maana haya mambo ya mauaji mala nyingi utakuta yanatokea sehemu ambako hali ya maisha yao ni duni!na ndio hupelekea kujiingiza kwenye...
Acha kuwafanya watu wajinga au ni wakenya, wakongo, ambao hawajui kiswahili vizuri!!toka lini neno ameshahukumiwa tu!!likatumika kuwa ni kuachiwa huru, ?!!na toka lini polisi ndio wakatoa hukumu, ina maana mpelelezi akikukamata na kukuhoji then akakuachia baada ya muda fulani hiyo unaiita...
Labda kwenye case hiyo, pesa ya mafao ya marehemu kwenye kile kiwango halisi alichotakiwa kupewa , hakupewa chote, huyo mama kwe wako, kingine kilibakia ili kila mwezi awe analipwa.lakini utaratibu uliopo ni kuwa mstafu anapofariki tu malipo yake ya pensheni ile ya kila mwezi huzuiliwa.Ndio...
Sasa hapo nani aliyevunja mkataba?vipengere vya mkataba vinataka timu zote 16, zivae logo yake, timu moja imekataa na hata mabango yake, hayatakiwi uwanjani, TFF, ndio ameshindwa kutimiza matakwa ya ki mkataba.
Sio kweli kuwa kila mwaka kodi lazima ipande, kodi inapanda kutokana na biashara yako kukua!!mauzo yanavyozidi kuongezeka na kodi inatakiwa kuongezeka pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.