Kiwanja kinauzwa kipo eneo la mawelewele Iringa manispaa kimepimwa na kinafikika kwa barabara ya lami urefu ni 40m na upana 20m eneo la tambarare.
Bei 28,000/= kwa meta moja ya mraba
Kwa kuwa viongozi wakuu kitaifa wanaendelea na utumbuaji majipu kwa viongozi wasiofaa hasa wenye madaraka makubwa kitaifa, ni vema tukawasaidia kutambua watendaji wanaostahili motisha katika ngazi za halmashauri kwa utendaji wao uliotukuka lakini pengine hawaonekani na pia tusaidie kutambua...
Natafuta mchumba msichana awe na umri usiozidi miaka 26, elimu yoyote ila asiwe na zaidi ya masters, rangi yoyote, dini yoyote, umbile urefu asizidi ft 5,4", asiwe mnene au mnene aliye tayari kufanya mazoezi.. Mimi ni mtanzania, mweupe, elimu shahada 1, umbile mnene kiasi, dini mkristu, urefu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.