Watanzania wenzangu,
Nimeishuhudia hii katika vyombo vya habari viongozi wakikabidhi bendera ya Taifa kwa vijana wa 'The Tanzanite', wanaotegemewa kusafiri leo kwenda kwa hayati mzee Madiba kwa mchezo wa marudiano.
Kilichonisikitisha ni kuoneshwa bendera ya taifa iliyogeuzwa juu chini...
Kuna cha'P' mmoja aliokoka na kushuhudia kwamba kati ya dhambi zote kubwa alizofanya kulewa kupita kiasi ni moja wapo.Kumbe siku alizokuwa akizuga kuokoka alikuwa 'apeche aroro'. Siku ya siku akapata bingo kutoka kwa mjori wake wa siku nyingi (akarudishiwa millioni moja aliyokuwa anadai)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.