ikiwa ni muda sasa tangu kampeni zianze,chama cha mapinduzi(C.C.M) kimepata wakati mgumu sana baada ya kukutana na zomea zomea na sehemu nyingine kukutana na watu wachache tofauti na ilivotarajiwa mbali na kusomba watu,mwandishi Emmanuel Buhohela (ITV) amekua akitumika kuficha aibu hiyo kwa...
Ni muda sasa mgombea uraisi kupitia CHADEMA kupitia mwavuli wa UKAWA mh. Edward N. Lowassa anahusishwa na tuhuma za ufisadi kubwa ikiwa ni Richmond,ufuatao ni ufafanuzi wa kisheria dhidi ya madai hayo;
1. Kwa mujibu wa https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Majadiliano_ya_mtumiaji:UFISADI
Neno hili...
Ni muda sasa upinzani mkali wa kisiasa umeonekana kati ya chama tawala C.C.M dhidi ya vyama vya upinzani chini ya UKAWA ikiundwa na vyama vinne CHADEMA,CUF,NCCR na NLD ambapo ktk mchuano huu ukawa wameonekana vinara kwa kuibomoa na kuipasua vibaya ccm. katika mchuano huu serikali chini ya ccm...
Goli la mkono ni kauli yenye kumaanisha ufungaji wa goli ktk mpira wa mguu usio halali kwa kutumia mkono kinyume na kichwa au mguu kama sheria za miguu zitakavyo,kauli hii ilitolewa na Nape Nauye wa C.C.M akimaanisha ushindi kwa njia yoyote hata zisizo halali kama itambulikavyo na sheria za...
Ikiwa ni muda sasa tangu lowassa alikaribiswa, akapokelewa,akatambulishwa,akuchukua fomu za kugombea uraisi na hatimaye kurudisha na kupokelewa makao makuu ya CHADEMA huku kukiwa na sintofahamu kwa pande mbili zinazokinzana yani wanaomkubali Lowassa na wasiomkubali,taarifa za siri zinasema mambo...
Ni takribani masaa kadhaa yameisha baada ya mbatia kumkaribisha Lowassa UKAWA,huku tukisubiri muda wa kutangazwa rasmi na kuchukua kadi ya cdm akisapotiwa na ukawa Lowassa anatarajiwa kuweka hadharani mambo yalivokua ktk Richmond hadi kuwa kafara ktk chama,hapa ataweka wazi jinsi viongozi wa...
Habari nzuri kwa wanajamvi,kwanza poleni na mihangaiko na matatizo ya kila siku,kwa wale wanaosumbuliwa na tatizo la vidonda vya tumbo nimepata dawa ya asilia yenye kuponya kutoka kwa baba mmoja toka morogoro,ni dawa itokanayo na majani ambayo huchanganywa na asali kama nusu lita ambapo haina...
Hii ni kwa wanaume wote waliooa na ambao waliopo katika mahusiano,iwapo mwanamke kaamua kumchezea akili mwanaume kwa kumwendea kwa mganga/waganga kwa lengo la kumpumbaza,tatizo hili laweza tatuliwa na mama mzazi wa kijana kiurahisi,hii ni kwa kutumia mkojo wake mwenyewe,inashauriwa kuuweka...
Je umesumbuka sana kuumiza kichwa adhabu utayompa mgoni/mwizi wa mpenzio umfumaniapo bila kutumia gharama kubwa sana?
Fanya hivi pale umfumaniapo mgoni/mwizi wako chukua konokono yeyote yule mwenye kigae au asiyenacho na umkate au mchome na kitu chochote,kisha chukua ute wake mpake machoni...
Ni kama miujiza! Nilikua mchumba ambaye kweli ni mzuri kisura,kitabia na umbo pia ajabu ni mara nyingi tukiwa tunasex hataki maswala ya denda kabisa nikachunguza nini tatizo labda ananuka mdomo nkakuta yuko safi, karibuni nkaamua kumwandaa vizuri ili nipate denda maana ndo kinogesho pia.
Mtoto...
Human rights are neither fixed in scope. Nor are they absolute in application" discus the validity or otherwise the statement with reference to human rights istrument of your choice and the practice in tanzania
Anajulikana kwa jina kama patrick lasway almaarufu kama bepari(20) toka j.k.t-ruvu,alitoka tangu jumamosi alipoomba ruhusa ya kwenda nje ya kambi hakurudi mpaka leo mwili wake ulipopatikana jirani na kambi ukiwa umeshaanza kuharibika kwa kuoza,ni ndugu yangu wa damu na siku hiyo niliongea nae...
Mwaka huu nimeamua kuspend valentine yang at ma lovely home country,nshachoka na maisha ya abroad,tatizo ntakuwa lonely sana any gal around come on tuspend together,if u ar ready plz reply or pm 4 more infos
Ukiwa abroad sehemu za kuvukia barabara kwa miguu wanaziita pedestrian cross,huku bongo wameziita zebra cross,hii ni dharau tosha wanatufananisha na wanyama especially punda milia aaarggghh! Lazima tupinge huu ubaguzi
Huu ni mpango unaosukwa na mafisadi katika kumkwamisha dr. Mwakyembe aonekane si lolote wala chochote,kundi hili linahusisha vigogo wa juu serikalini na watoto wao wenye kumiliki na kutoa huduma ya usafiri jijini dar ambapo inapangwa kutengenezwa ajali itakayosababisha uharififu mkubwa na maafa...
Jamani atakayeonana na huyu mzee wetu naomba amfikishie huu ujumbe tangu atuache kilimanjaro iko kenya,nyasa iko malawi,tanzanite iko kenya,tanesco inamilikiwa na low-a-sa,shekh ponda ni I.G.P,raisi anaishi airport,tanzania imetokana na muungano wa visiwa vya pemba na zimbabwe,hayo machache na...
Jamaa anajiita salama jabir/sina hakika kama ndiye mwenyewe kama anavojitambulisha,anadai ana huduma ya tigo mixshare(kwa wateja wa yigo tu) ambayo hulipiwa 3500 kwenda no. Wanayoitoa ambayo imesajiliwa kama lwelo emanuel ,na baada ya kuunganishwa unapewa serial master no. Ambazo zinakuwa...
Najiuliza hili swali sipati jibu kabisa,utasikia watu wanatafuta dawa na wengine kulalamika sana kuhusu hili tatizo,je wenzetu hawana hili la upungufu wa nguvu za kike?kama lipo inakuwaje na tiba yake? Au ndo hivo kimyakimya? Samahan lakin
Wakuu nadhani baadhi yetu tushakumbwa na hii hali,kwanza ilintokea kwa ex-girl wangu ambapo alitaja jina la jamaa flani hivi,iliniuma sana tukajaachana,binafsi kila ninapocheat nikiwa kunako faragha hujichanganya na hatimaye kutaja jina la mpenzi wangu wakati niko na mwingine tofauti,wadau je...
Yale maandamano ya waandishi wa habari yaliyofanyika janakupinga mauaji ya mwandishi mwangosi na ukiukwaji wa haki za raia yanayofanywa na polisi yameshindwa kufikia malengo kwa baadhi ya mikoa na vyombo kutoshiriki,mf. Arusha,singida,moro na vituo kama TBC na Clouds Media,hii imetokana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.