Kipo Mbezi kwa Musuguri karibu na barabara kuu ya mikoani, kina hati. Bei inaanzia Tshs 45m, pungufu unaongea....Hiyo ni opportunity kubwa kama una hela na unafikiria kuwekeza.
Huyu jamaa hii nafasi aliyoipata sasa ni kubwa sana so inabidi aache kutoka na wake za watu, watoto wote wa mjini tunajua kuwa anamuibia mwanamziki mmoja maarufu wa bendi inayopiga mziki wa kikongo ya hapa Dar.
Huyu mdada hana nyimbo, hiyo blog yake nadhani ina miezi sita sasa haijawa updated! best web ni estate.tzadverts.com, japokuwa kuna links za estate agent wakubwa wa bongo kama utaenda kwenye web ya t-mortgage.com, bei zao za kupanga fully furnished apartments zimekaa kizushi sana, sitaweza...
Je una nyumba Dar ambayo ni fully furnished yenye at least two bedrooms na hutakuwa ukiitumia katika mwezi wa october? Isiwe mbali sana na town centre na iwe na car park. Inahitajika kwa ajili ya wageni watakaotoka Europe na kukaa hapo kwa at least mwezi mzima and possibly longer. Nitumie PM...
Asante Mwanakijiji kwa hadithi tamu sana na ya kusisimua lakini Kana Kansungu ameona yale ambayo wengi hatukuyaona, asante KKN kwa constructive critism yako.
Nafikiri umaskini wetu ndio unatutia tamaa ndogondogo, na ukubwa wa gap uliopo kati ya maskini na matajiri, itakuwa ni vigumu ukiokota elfu 20 uirudishe kwa mwenyewe wakati unajua hujaacha hela mboga nyumbani na hujui kesho wanao watakula nini, hiyo bongo ingekua kama bahati na tena unamshukuru...
Susuviri unajuaje kuwa alikua 'anapayuka'? na alikua hasomi speech iliyoandaliwa? Labda hapo speech writer wake ndo kajipinda kikwelikweli na mkuu mwenyewe akaona iko bomba?
[/B]
Kuweni wavumilivu watanzania, Rais wenu hana experience kwenye post yake ya sasa, hajawahi kuwa Rais before kwahiyo on job training haiwezi kukwepeka hapa!
Mbona sioni constructive criticism hapa? labda mkuu wa kaya katoa kauli hiyo kulingana na upeo wake (pamoja na timu yake)wa kufikiri. Tumsaidieni jamani ili next time ajue nini kinapaswa kusemwa aki encounter similar situation.
Kaka Dua unaonekana unapenda ubishi sana, alafu unatumia hoja za nguvu na si nguvu za hoja, angalia analysis ya kanakansungu ilivyotulia,ana data na inaonekana anakijua anachokiongelea kwa undani tofauti na wewe, yani kuendelea kujibizana nae hapa unazidi kujiembarass tu. Punguza jazba, huyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.