mbona umeenda mbali sana! limeongelewa suala la kupeana raha kwa watu ambao ni wapenzi. Jaribu kuwa unasoma between lines. Inaonekana huu ni udhaifu wako mkubwa sana. Do not jump into conlcusion kama issue hujaielewa sawasawa
haiwezi kuwa kwa makabila yote, kamwe. Nna mambo mengi ya kufanya bwana, isitoshe am not an academician to spend whole time speculating on more than 120 tribes. I will be crazy!
Usipost for the sake of posting, matokeo yake unaongelea jambo ambalo wenzio huko juu wameshalisema na majibu yake yameshatolewa. Tuliza akili, soma walichoongea wenzio ndiyo uje na maneno muzuri.
Umenikumbusha vikao vya harusi, mtu anaongea, mwenyekiti anauliza kama kuna mwenye hoja mpya, mtu...
Mkuu mbona hiyo kitu iko wazi tangu zamani. KUlala kwake siku tatu bongo kama rais wa amerika haikuwa bure. Na bado mengi yanakuja, ndiyo maana huwa nasema, ufisadi nchi hii ni kama mahala pake unapotengenezwa
wapo wanaotamani Mungu angekuwa anauza hewa ya oksijeni, watu washindwe kuinunua ili wabaki peke yao nchini Tz wafaidi maisha bila bughudha ya watu masikini wanaopiga kele kila uchao.
mbona ya kugawa neti hukuuliza. ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni...........usemi huu wa kwenye biblia unajidhihirisha katika awamu ya nne ya uongozi wa tz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.