Wazoefu naomba kuelekezwa ni kampuni ipi ambayo huwa inacharge makato madogo iwe 0.0% au 0.5% wakati wa kulipia bidhaa au kutumia kwenye ishu za kibiashara kutoka mitandao hii ya simu.
Baadhi nilizowahi kutumia
SELCOM wanakata 1%
MLIPA wanakata 3%
LIPA KWA MPESA 0.5% (hii nmeitumia zaman kidogo...
Wakuu leo mtoto wa mjini nmeingizwa mjini
Huyu demu tulikutana kwenye sherehe moja ivi.muda wote alikuw bize na simu,alionekana mpole,demu fulan iv mweupee mrefu ila msambwanda wa kawaida.
Niliiendelea kumscan pale badae kuna mhuni nlimwagiza akanichukulie namba,demu aligoma akidai kama nataka...
Wakuu habari,
Katika vitu vigumu katika biashara ni kufanya biashara uizoee na ikuzoee, pia ukiona biashara yako imesimama vizuri sana nina imani ni baada ya kipindi kirefu kupita
Katika biashara wengi huwa tunawahi kukata tamaa kwa kuwa tunaingia tukiwa na matarajio makubwa.
Walio wengi...
nawasalimia. habari
mi kijana (23)nmefanikiwa kuanza biashara baada ya kipind kirefu kutafuta mtaji.
nilikuw na laki 2 nimefungua biashar kwa laki na hamsin (nimetimiza week moja na siku 4)
katika hyo biashara wakat naanza wateja walikuw wanakuja wachache (nahisi n kwa sabb sijawa mwenyej)...
Ram 2gb
Storage: 32
Camera: triple camera
Condition: haina hitilafu yoyote ile nimeitumia week 3
Inakaa muda mrefu sana na charge
Vifaa vyake vyote vipo
BEI :200K
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.