Acha kutukana watu hovyo ww watu wengine wamepata ajira hapo kwakufaulu interview bila hata kumjua mtu na wanapiga kazi ile mbaya, uki-generalized unakosea bana!
Kama watahukumu kwa haki basi imekula kwa CCM ila magamba walivyokuwa washe***** sidhan kama M4C tutakuwa na chetu, cause hata msimamizi wa uchaguzi ametoa ushahidi kuwa alilazimishwa kumtangaza mshindi na bosi wake ambaye hakumtaja ila mshindi sahihi ni peoooooplessssss powerrrrrrrr!!!!!
Kaka iringa sasa ni moja kati ya mikoa inayoendelea kwa kasi sana! Hata vile viwanja vya makanyagio vya laki huwezi kupata sasa ni mil 3 mpaka 7 so na rami wameweka sehemu nyingi sana!
Dah mmenikumbusha mbali sana, dogo Fubu upo? Me nimemaliza pale 2004 nasikia mama mingoi alikufa na kuna dogo fulani hv alikuwa na kashfa ya kuwala*w*t watoto wa middle school pale tosa sijui ishu yake iliendaje mahakamani! Bt I we'll plsed with that thread du ni kitambo sana
Kweli kaka umeweka mawazo katika nyanja nyingine kabisa!
But all in all kugundua mzinifu siyo lazima tutumie njia moja sanduku la 2010 ndio njia ambayo pekee itatufanya tumjue mzinifu
Du me wife alishaniabiaga mara moja tu kama miaka miwili iliyopita ila uwa naona matendo yake akiwa anataka mara anasema leo naenda kulala mapema ooh mara naogopa ndani kwenda peke yangu niliona kama kuna mjusi hv na kama bahati mbaya zote zimefeli hz trick ukilala she must start kukurushia...
Yaani hapo pa watanzania kuchangia umasikini wa taifa ndio lipop tatizo letu! Magamba sawa wanahisa kuchangia katika hili ila mafasiliteta ni sisi wananchi!
Let wake up ndugu wananchi "let do our part then force other part of goverment to work on it" siyo kulalamika tu kila kitu serikali kwan...
Yaani hapo pa watanzania kuchangia umasikini wa taifa ndio lipop tatizo letu! Magamba sawa wanahisa kuchangia katika hili ila mafasiliteta ni sisi wananchi!
Let wake up ndugu wananchi "let do our part then force other part of goverment to work on it" siyo kulalamika tu kila kitu serikali kwan...
Viva msigwa! I real proud u to be my representative mjengoni! Niko kifua mbele siyo kama magamba kila siku wamefisadi hela za umma yaani wanakela sana
Peoples powerrrrrrrr
But tukukumbushe ile ahadi ya kututafutia hati za nyumba sisi ambao tulijenga bila kufuata mipango miji maeneo ya...
Mkuu ulipiga simu au ulitumia internet cause haieleweki ndani ya dk 10 ulifanya nn!
Hata kama unapiga int. Call haifiki kiwango hicho na hata kama unatumia skyper internet huwezi kuliwa 45 ndan ya dk 10, ebu angalia usije ukawa uliingiziwa 4,500 kwa makosa ww ukadhani ni 45,000
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.