Tunaomba taarifa fupi mtuambie kwanini umeme unakatika sana kipindi hichi cha awamu ya SAMIA? wakati wa mwendazake hatukuyaona haya, tuseme mna agenda yenu ya siri?
Kilichobadilika ni waziri tu ila watendaji ni walewale na miundo mbinu, Kalemani aliwezaje na Makamba anashindwaje? Mimi...
Mimi nimeoa na mke ila nimekutana na mdada nae ni single mother tulianza mahusiano yapata mwaka sasa, ananipenda sana ila naona mwisho sio mzuri, coz kwanza anapenda sana sex, sasa kwa maisha hya ya kibongo ukipiga hesabu kudate nae 30,000x4 = 120000/ sasa kwa kipato gani unafanya zinaa tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.