Kwa niaba ya familia Na Kwa niaba ya Mh Mkundi, nakanusha uvumi wote juu yake Na naomba jamii itambue kuwa Mh Joseph Michael Mkundi yu hai na ni mzima wa afya. Ni rai yangu anayevumisha habari yoyote mbaya aache na kuwa familia tunasikitishwa na taarifa hizi zisizo za kweli juu ya ndugu yetu...
Sikuja kujibu hoja ya ndugu Malima na wapambe wake, hapana isipokuwa kuhoji mambo machache juu ya dhamira yake, mbinu zake, mikakati yake ya kugombea ubunge wa ukerewe.
Siku mbili tatu kumekuwa na harakati mbali mbali za kisiasa katika mitandao ya kijambii na vyombo kadhaa vya habari juu ya...
Kama nyerere na wenzake waliopigania uhuru, utu, heshima na maendeleo ta taifa hili wakiwa vijana wabichi kati ya umri wa miaka 25 na 40, je vijana wa sasa tupo katika mwenendo sahihi wa kuchukua na kuendeleza dhamana hiyo, au tunatumika tu...
All great intellectuals in the history of mankind were great social thinkers and committed social critics. Where education is compartmentalized and is devoid of social economic dimension, it is bound to produce intellectual stagnancy. Hugo is gone but his mind, his ideas, his vision, his...
Lawyers profession
like another
as old as itself
as dirty
but even less honest.
By god.!
one sells body
another brain
one forced to do so
another chooses to do so
Damn it !
both should go
this of gentle-man-eaters
even before
that of needy mothers and sisters. think....!!
Huyo huwa ni tupu, nilipambana naye 2010 akanipigia salute chuo kikuu SAUT MWANZA, KAZI YAKE NI JAZBA,KELELE NA KUMNUKUU MALCOM X KWA KILA KITU KILA WAKATI NA QUOTATION ILE ILE
pamoja na uongo wako wote huo bado, nasema bado hakika hamuwezi kufuta jina na sifa ya uongozi wa mataba hapa chuoni, kitaifa na kimataifa, kiongozi thabiti, shupavu, mtendaji na mwajibikaji si mpiga kelele kama ninyi tangu mumeingia ni kelele za face book na jamii forum badala ya kutatua kero...
baraza gan huru na la watu wenye uwezo kama lililokuwa la mataba
alipigania ofisi na tayari zilipatikana akatoka zikikarabatiwa
akawa na serikari isiyo ya kidini,kikabila,kifaculty na kitabaka, yenye mchanganyiko wa rika zote
akajenga viwanja vyote vya michezo,
akawaleta wasanii kuburudisha ktk...
ni tumu murua ya kuaminika kwa watanzania, japo kukosekana ka msomi kama prf shivji kumepunguza utamu ikizingatiwa ni mtaalamu wa sheria za katiba, mzalendo, mzoefu na mkweli
inasikitisha kuona kiongozi mwenye dhamana anakwepa ama kukataa kuwasikiliza wadau wake, kawambwa sikiliza kilio cha wanafunzi wa vyuo vikuu hasa SAUT, naambiwa viongozi wake wamekutafuta sana ofisini unawakwepa,simu hupokei, kwanini sasa? wanajua unajua hawajapata pesa yao ya kujikimu tangu...
sishangai sana haya yanayosemwa na kujadiliwa humu kuhusu kukawia kwa meals na accommodation ya wanafunzi wa chuo kikuu cha SAUT, sishangai sababu sisi vijana wa leo hatusumbui vichwa vyetu kufanya tafiti, sishangai sababu tumekuwa kikazi cha kukopy na kupest,sishangai sababu tu kizazi dhaifu...
lowasa ama watu wooote walio nyuma yake wana usafi gani....?uhalali gani...?umahili gani...? na umakini gani...?wa kulugusa jina la gwiji la siasa za karne yake, mwana halisi wa afrika,mwanafalsafa,mwana jamii na mzalendo halisi wa utu wa mtu, baba wa taifa mwalimu julius kambarage...
ni zama zake mabadiliko
ni zamu zao mahangaiko
ni hamu ya kuu anguko
watanganyika watachukua nchi yao.
sokoine wa sasa atarudi
kuchapa makuhadi
ufisadi hata nadi
jasho damu wanaililia nchi yao
nyerere yuko wapi
wanafunzi wake wako wapi
dira watanganyika hawawapi
nchi yao rasilimali zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.