kakke una Mawazo finyu hayo, Muungano wetu si katika dini, kama sababu ni muungano kachomeni ofisi za chama na ikulu ya zanzibar na siyo makanisa. Huwezi hata kufikiri kabla ya kuandika wewe. pamoja na uamusho wenu kaamkeni mukiwa misikitini na siyo katika makanisa :lock1::A S 12: nyinyi...
Bado kidogo tukaze moyo tuamue kumuadabisha kwanza Spika wa Bunge Anna Semakinda, halafu mdanganyifu Mtoto wa mkulima, Pinda aliyepinda, halafu mwisho tuligeuze bakuli lote tumteme Jakaya, tuone kina Ridhiwani watakula jeuri yao:photo::alien:
Huyo ni muasi na namfananisha na Lusifeli, hawezi kumzidi Mungu ila hata Mungu hamuelewi. au ndugu zako ni wengi hadi wamekaba chumba cha faragha, maana ndicho alichohamia kwako, yeye hakutakiwa kuwa yaya, mpe ananchotaka, mtoto kila mwaka mpaka aombe kupumzika:A S 465::A S 465::hat::hat:
Poa naona umeisha pata msaada husika, lakini ni kama 2000 X 17 au 18 hivi unapata hela ambayo hata DSA moja haitoshi au ni kama 1/5 ya posho ya mbunge wetu bongo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.