Mkuu kama uliwahi soma pahali either kwenye historia au vitabu vya dini na ukasikia Neno Miungu basi elewa hao miungu walikua miungu kweli kama unaijua miungu ya dini za kale na za kipagani kama mungu
Ra wa Wamisri
Krishna wa wahindi
Quetzalcoatl wa wamaya
Enlil na Enki wa Wababylon nk nk...
Ushahidi siwezi kupa hapa kama unautaka itakugharimu Muda na kipato kupata maana kuna kwenda site kabisa kushuhudia ili unavyopewa maelezo ujilidhishe ila kama unautaka miongozo nitakupa hints uanze kufuatilia documentaries mbali mbali za watafiti na wanasayansi pia vitabu mbali mbali na...
Tutakesha hapa Mama Mwana kuzielezea,
Hii ni zaidi ya Elimu yaani kama ulitumikia shule kujifunza hapa ni kama utaanza na Moja kusoma
a e i o u kujua Haya mambo
Hahaha anza na lolote ku google upate mwongozo!
Dunia iliwahi kaliwa na Race ya Annunak ambao walitoka Sayari Ya Nibiru kwa malaki ya miaka hao ndio waliochimba dhahabu kwa 90%
Na iliyobaki ndio hii tuliyobaki nayo leo na wakaipeleka kwao na hao ndio viumbe walioitwa Miungu katika Dunia ya kale,
Kuna mambo makubwa yatakayo kushangaza...
Duu aisee mkuu huo ni ustaraabu wa kale mkuu,
Kiufupi hii Dunia iliwahi pitia maendeleo makubwa sana katika Science na Teknolojia mara elfu kuliko tulivyo leo,
Ushahidi wa kimazingira unaonesha hapo kale Dunia ilipata kua na ustaraabu unaohusishwa na viumbe wageni yaani Alliens,
Either ni...
Labda hujajipa muda wa kufuatilia na kudadisi kuhusu accient civilization,
Leo hatuna tech ya kuwafikia hao hata robo ndio safari inaanza tena kwa ku copy hao hao mfano hata huu umeme tunaotumia wa AC Nicola Tesla alicalculate formula alizopata kwenye tablet za Khemet tena anaenda mbali na...
Binadamu anaitumia bahari kwa 2.0,% tu kuna sehemu hata hakuna aliyegusa maana hata kupeleka vyombo huko ni very risk just imagine Mariana trench kunavyotisha vile fa masikhara nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.