Napenda kutoa ushauri tu kuwa usitegemee mafanikio bila kujituma katika kazi. Wengi wetu tunapenda mafanikio kupata huku tunastarehe. Mafanikio hayaji overnight, ni mchakato ulio na vigingi na machungu mengi.
Usimuone mtu katika 50s years akiwa na nyumba, magari, mashamba nk, jua kasota sana...
Mzee Baraka Shamte jembe Sana. Tatizo mijitu mizima haimwelewi kwa kuwa imejaa kasumba ya utwana. Ndio maana nalichukia li maalim seif, karume upara, jussa na lisheikh farid
Papa hana la kufanya hapo wasimwingize kwenye siasa wamwache na mambo ya rohoni. Kwanza si ndio walimuua padre wake hao na kumwagia tindikali mwingine. Awapotezee tu hao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.