Haniu alikuwa anapwaya sana kwa hili nakubaliana na rais, haiwezekani taarifa ya ikulu iandikwe kiholela tu, mara achaganye fonts mara capital letters zikae hovyo mara abold bila mpangilio
Usipostaafu? Madame hatuna mkataba na Mungu
Nashauri kufanya yaliyo ndani ya uwezo wetu ili tufanye kwa muda na tufaidi tulichofanya
Nyumba yangu nimejenga ya kawaida kwa mwaka mmoja na mwaka huu nitafanya finishing kwa mkopo ili niishi
Sasa kujenga miaka 12 boonge la jumba huku ndani ya...
Olewa naye, kosa lake ni kumleta nyumbani tu lakini usidhani mkioana hatapiga nje na hautapata mwanaume asiyepiga nje hata sisi tunapiga nje kiufupi wanaume asilimia kubwa tunapiga nje lakini tunaheshimu ndani
Kama unamuacha muache kwa kumleta ndani sio kwa kupiga nje
NIMEKUCHANA[emoji34][emoji34]
Kuna mambo wanabishana ila ni ya kipopoma sana na uhaba wa ufahamu wa mitandao
Kibatala hafahamu mitandao na anayejibu hafahamu
Kibatala angefahamu asingeuliza urojo, Urio angefahamu angejibu kirahisi sana
Wote wameshindwa kujua namba inaonekana wapi katika telegram
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.