Natumaini mu buheri wa afya wanajukwaa!
Baada ya kuhitimu chuo miaka michache iliyopita, nilikuja Kahama mjini mkoa wa Shinyanga kupambana. Miaka inazidi kukatika huu mwaka wa pili sasa lakini bado mbele naona giza. Nimetafakari nikagundua kuwa, bado sijatengeneza marafiki ambao huenda kupitia...
Ni Tv flat screen , mwanzo ilkuwa vizuri tuu Ila saivi nikiiwasha kwa kutumia remote control kamanilivyokuwa nafanya mwanzo. Saivi ile rangi ya taa nyekundu ilokuwa inageuka kuwa bluu baada ya kubofya power button kwenye remote na kuruhusu tv kuwaka Sasa imegoma.
Nikibofya power button bado tv...
habari wana jf,
Natumaini mu wazima!! nilifanya factory reset kwenye simu yangu, lakini kabla ya kufanya hivyo nilihamisha mafaili mbalimbali kutoka internal storage na kuyaweka kwenye SD card.
Kweli nikafanikiwa lakin baada ya kufanya factory rest , miziki inacheza vizuri tuu, ila sema...
Habari wana jamvi.....
Nina Pc yangu aina ya dell ilipatwa na tatizo gafla ambalo imekuwa changamoto kutatuka. Siku moja niliiwasha Pc yangu lakin cha kushangaza ukaja mwanga mweupe tuu. Nikazima nikawasha tena ikawa hivyohivyo kama awali, nikaanza kazi ya zima nikuwashe hola, lakini karibia...
Mimi natokea mkoa wa mara (rorya) nilkuwa naskia sana habari za kuwahi kuwepo Jamaa mwenye nguvu sana kama samsoni (biblia).
Nikajaribu kufuatlia zaidi kisa chake kwa wazee tofauti tofauti lakini story ikawa ndo ile ile inafanana!! Inasemekana jamaa alikuwa miraba minne, mkono wake tuu kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.