Gari ipo katika hali nzuri,haidaiwi chochote,
cc650
AC
Imetembea Km 181000
bei 4.8Mil serious buyer call 0714792727/0782345695
Server haiko poa saiz ukihitaji just whatsapp ntakutumia picha
Wakuu naomba nieleweshwe kwa hili kidogo akisoma mashtaka mbele ya hakimu mkazi mwandamizi wa mahakama ya wilaya Daines lymo mwendesha mashtaka alimtaja mtuhumiwa kwa jina la Pacificus Cleophase Simon (23) lakini kwenye ripoti ya Nchimbi imemtaja kwa jina la pasifious, hivi ni mtu yule...
Mkuu mbezibeach 2
Hapo napo pana shida tena ile wizara haipo MINISTERI na wengi wao hujua hivyo na nakumbuka niliuliza mpaka wanafunzi wa school of finance and bness ya Kigali wahakujua ilipo, na kuhusu rushwa kwa kweli wamejitahidi lazima na hili utaliuona ukianzia mpakani ila bado ipo ndani ya...
Mkuu sijawahi fungamana na upande wowote hasa kwenye siasa za ndani nnachokwambi nimeshuhusia na nimeishi nacho kwa muda acha utoto, nidanganye uma kwa manufaa ya nani, na hayo ni machache nitarudina mengi next time.
Ukweli wa machache nnayo yajua mimi ni huu,
ELIMU:
Ule mradi wa laptop moja kwa kila mwanafunzi umefeli kwa sababu ya Rushwa na ilikuwa ni ndoto kutimia kwani zaidi ya nusu ya shule zao hazina umeme, walikuwa wana system kama ya kwetu kutoa mikopo lakini kuanzia mwaka jana serikali...
Ukweli wa machache nnayo yajua mimi ni huu, ELIMU;ule mradi wa laptop moja kwa kila mwanafunzi umefeli kwa sababu ya Rushwa na ilikuwa ni ndoto kutimia kwani zaidi ya nusu ya shule zao hazina umeme, walikuwa wana system kama ya kwetu kutoa mikopo lakini kuanzia mwaka jana serikali imejitoa...
Double likes Shayu, nimependa ujengaji wako wa hoja na mafundisho/mada hizi ndo tunazozitaka kwa wingi humu, najiskia faraja kujifunza kitu baada ya kusoma mawazo ya mtu mwingine.
tinker taylor hapo umenena, mimi nimefungua kiwanda kanda ya ziwa ila usumbufu nilioupata simshauri yeyote afanye biashara Tz, imagine ni mwendo wa mizinga na delays kuanzia mpakani, TRA,TANESCO, TIC,Polisi, city council na kwingine kote unakopita,nimesumbuka toka August 2011 mpaka jan2012 na...
hamna kitu pale hastahili hata kuamkiwa kwa sasa, amegeuka kuwa pipa la takataka zote za serllllllikali hajui kuw wenzie wanamtegea ili ajiharibie kabla ya 1215.
Asante mkuu kwa kulileta hili humu jamvini personally nimeshawahi kufanya kazi na huyu jamaa nini afanye kwa nyimbo lkwenye suala la elimu na IT, jamani huyu jamaa ni kilaza sijapata ona, hajui hata windows unaweza ukainstall hapa tz coz wakati anaandaa bajeti alikuwa anaweka software costs...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.