Sawa, ifuate huko, mimi nafuga hao nyuki pamoja na kuhakikisha nawawekea mazingira bora ya wao kuzalisha asali..
Nashukuru kwa mawazo yako lakini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za jioni,
Tunauza asali mbichi toka Itigi, kuna ujazo wa 1kg tsh 12,500 , 500 g ni tsh 6500 na 250 g ni tsh 4,000
Kwa mawasiliano 0756 699699 / 0746 699299
Kwa Dar es salaam, tutakufikishia mzigo kwa maeneo ya Posta kuanzia 5kg, Mwenge, Mwananyamala, Mikocheni, Masaki, Mbezi, Sinza...
Na mimi hii imenitokea Dec 27, niliomba usafiri kutoka maeneo ya mikocheni, gari iliyokuja imechoka na haina A/C, nilipokataa nilichajiwa elfu tatu, mnatakiwa muwe na std ya magari yenu.
Mkuu malafyale, nikupe pongezi kwa hatua uliyofikia, labda unisaidie, Mimì nalima alizeti na mahindi huko huko Morogoro kijiji cha Kipera kipo Karibu na Mzumbe, Nina shamba ekari 18 nataka nilime ekari 15 mwaka huu, wewe unatumia wataalamu? Na kwa ekari huwa unapata gunia ngapi za alizeti kama...
Nimejifunza kuwa wanasiasa sio watu wa kuwaamini kabisa, maana kama mwenyekiti, naibu katibu wote wanachukua hela kwa hao tunaoaminishwa na mafisadi, maana yake nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.