Habari za wakati huu wanajamvi!
Kama ambavyo maada inajieleza, nataka kujua taratibu za kupitia ili niweze kufanya kipimo cha DNA. Yeyote anayejua anijulishe tafadhali
Habari za wakati huu wakuu, poleni kwa majukumu na misiba tunayopitia kama Taifa.
Niende moja kwa Moja kwenye maada yangu, ninataka kuuza Baby walker yangu ninunue gari nyingine yenye uwezo wa kupiga mzigo kwa muda mrefu! Namaanisha 2000+ cc ikiwa kama Seedan au Saloon. Sasa nimepitia kwenye...
Habari gani wananzengo.! Ni matumaini yangu kuwa mnaendelea na jukumu la kujenga Taifa letu pendwa, Kisiwa cha Amani na Kimbilio cha Wasio na Makazi Tanzania.. Kiukweli najivunia kuwa mTanzania.
Aseee hebu tuachane na porojo, mie bhana katika pitapita zangu hapa kwenye jamvi la MMU nikapita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.