ni kweli kabisa aliolewa na mzee fulani mzungu na wakawa wanaishi marekani kama miaka mitatu iliyopita alikuja mwanza o nyakato parokiani akiwa na huyo babu na wakajitambulisha kanisani kwamba wameoana, baba yake alikuwa mwenyekiti wa parokia na pia aishamcukua mdogo wake kwenda nae huko huyo...
me nikisikiaga ishu ya hivi huwa nafurahi sana mana najua c muda mrefu wasanii wengine nao wanaojifanya kuwa wapo juu kwa kufuja vijisent wanavyopata watakuwa hivi c muda mrefu, NICHEKI HADI SIMU YA NOKIA TOCHI DAAAAAHHH HII NOMA
huyo docta wa kugushi anazidi tu kuchangany mambo, kwa maelezo ya seth aliitwa wakti kanumba kaanguka tayari na kwa maelezo yake alimkuta ameshakufa sasa ilikuwaje akajua kuwa l alipigwa, me naona huyo dokta apuuzwe coz anatafuta nae umaarufu kwa kupitia tukio hilo kama atahitajika kwa ajili ya...
mambo mengine bwana kuwa uyaone sasa alitaka serikali ndo wamuwekee hao walinzi au? umaarufu wa bila pesa ndo huo mwisho wa cku wanaaibika. kama mbunge haoni matatizo yoyote katka jimb lake y haongee ujinga?
me wala sioni cha kushangaza hapo mana shopping ya wema tu dubai alitumia hiyohiyo amount, pili tanzania ni nchi maskin nadhan wangeweza kuwanunulia wamama magodoro katik hospial mbalimbali angalau wajifungulie hapo kuliko chini.................................maoni yangu tu.
haya mambo bwana watu wanapata tabu kupata ujauzito wakiwa na waume zao lakini wanapotembea na watu maarufu tu wanashika dah wasichan wakati mwingine tunatia aibu unakutana na mtu hata bila kinga na waka contact nae unazijua na ndo umekutana nae inawezekana baada ta show ndo aliofa kumpa diamond...
hata km unamchukia Mwakyembe huu unyama wanaomfanyia haukubariki kabisaaa, ipo cku atafanyiwa ndg ama rafk yako cdhan km utakuwa happy,
2najenga tz gn??
Yaan Tz tumefkia hatua hii??
JK nchi imekushinda!!!!!!!!!!!!!!!!!
Nassari ni kijana mpambanaji, asiyekata tamaa na hata ccm arumeru wanamhanya, na hakika atakuwa mshindani wa kweli, ni miongoni mwa vijana wachache tishio waliopikwa na CDM, na kwa asili ya watu wa Arumeru ni rahisi sn kumchagua mzawa kuliko mgeni. Ninavyomfahamu Joshua:
Ni mzawa wa Arumeru.
Ni...
MFA MAJI HAACHI KUTAPATAPA, JUSA hana jipya wala analolijua, ni mbabaishaji tu aliyeishiwa kisiasa, CUF yao inawafia na mawazo yao duni, CUF wanaizika wantuletea porojo, kwa kauli yake hiyo inadhihirisha namna walivo ccm B, inakuja hiyo CDM kuwashika zenj na mtachonga sn akna Jusa
jamani i wish kama huyu wa kwetu angekuwa anapitapita humu aone jins wananchi wake wanavomuombea kifo kama ana akili ajiondoe tu kwa amani kabla ya njia zingine au ajafikia hatua ya kufa halaf watu wake wafanye sherehe jamani hurumaaaaaaaaaaaaaaa
mimi ni mwanasheria nataka nitolee ufafanuzi suala hili, hakuna muda maalum wakuachana kusheria ila kuaa mbali kwa muda wa miaka 3 bila kuwa under the same roof then a party to the marriage can use that as one among the grounds for divorce na ni lazima iwe kwa miaka 3 mfululizo.
Pia kuna other...
Wamefulia tu hawana lolote unachezea usupastaa wa bongoland ambao hauna mbel wala nyuma wala pesa achilia mbali mali? Wanaonufaika ni akina shigongo kwa kuwaandika na kuuza magazeti c wasanii
Ana amatako gan ya ajabu watu wana inye za maana original na zenye mvuto wa kweli na wala hawatongozwi maana wanajiheshimu ss yy kwa sbb anauza naona ndo maan anajarib kujitangaza so wapenda inye za kichina kitu hiyo ingawa mjiandae maana hamtapata joto kama kutoka inye original...
Mhm hata kama ni stail wasanii huwa wanabadilika ili kuwapa watu ladha tofauti miaka sasa stail ileile? Amefulia tu na yy na asipojitahidi ataisha muda c mrefu
Kajinga tu kale katoto halafu ni kauni kanajifanya akamjui mwanaume wakati hata miguu imepindishwa na wanaume kwa sbb ya kuanza mambo hayo katika umri mdogo akawadanganye wajinga wenzie,
Ingawa el c chaguo langu ila namtetea ktk hili maan amadokta ni watu wasomi na wanajua wanachotaka na km wangekuwa wametumiwa wasingekuwa na madai ya msingi km ambayo wanayo ss hivi, tukubaliane tu ni kwa sbb ya uongozi mbovu wa rais mtalii tuliyenaye ndo unatufikisha hapa na c mtu wala chama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.