Pwani, Bagamoyo na Morogoro wapi naweza ng’ombe wa maziwa wakuuza?
Wengi naona ni janda za juu na kaskazini.
Nipe location au contacts kwa anaejua please!
Kama ulikuwa hujui CRDB wanakukata 10% kwa kila unapolipa kwa Dola ($) kutoka account yako ya Tsh. Mfano juzi nimelipia 216$ nilikuwa na salio la Tsh. 618,591.67 mwisho nimebaki na 75,993.47.
Japo wanadai hata mabenki mengine ndio hivyo hivyo.
Hii sio sawa kabisa 10% ni kubwa sana asee kwa...
Habari wadau, hizi gari zinaonekana kama sawa hivi, ila naomba elimu zaidi ya google.
Probox ya 2015 vs succed ya 2013 ipi nichukue?
Je ni kweli succed ni probox ilio boreshwa? Kama ni kweli mbona bado anatoa?
Wataalamu wa hapa nataka kuchua probox 2013 au ist 2006 japo mezani imezi zaidi upande wa probox sababu ua ukubwa na uwezo wa kubeba mzigo, nitakuwa sawa au? Ina changamoto gani ambazo common nijiandae?
Habari, nataka kuagiza simu ya apple kule apple store, nataka kujua kama kuna mdau yeyote alisha wahi agiza na changamoto zipi alipitia mpaka kuipata..
1. Gharama ni ile ya pale uliolipia naada ha ku checkout au kuna ziada baada ya kufika
2. Ilikuwaje? Hukubadilishiwa? Ilikubali kwa network...
Miaka ya nyuma nilikuwa nafanya mazoezi ya kukimbia barabarani mara kwa mara siku moja tukiwa tunapiga stori na rafiki yangu yeye ni “Dental Specialist” pale Muhimbili akaniambia hadhani kama kukimbia barabarani hasa hizi barabara zetu magari mengi, unavuta punzi ya moshi wa magari, unapisha na...
Habari za hapa,
Kwa sisi ambao hatuja zoea sana bahari tukisafiri na boti tunakuwa kwenye hali ngumu sana mara kutapika , kichefuchefu n.k .
Wajuvi wanipe maarifa naweza fanya nini au kutumia nini kuondoa au kupunguza hali hiyo.
Alafu niligundua hasa wakati wa kurudi bara ndio balaa linakuwa...
Ukiingia Muhimbili na gari unapewa ile kadi pale getini, ukipaki gari hakikisha unatoka na kadi yako mfukoni na usiache kwenye gari.
Pale geti la kutokea hupiti bila ile kadi. Ikitokea umepoteza watakufanyia uhakiki mkubwa sana kuanzia kadi ya gari, leseni, vitambulisho, copy, namba za ndugu...
Kama unajua mahali wanaweza paka rangi vizuri na KUNYOOSHA body vizuri sio kupiga piga na kupaka putty [emoji23] pia ku spry gari ionekane kama haijawahi pakwa rangi.
Usiniambie niende AZAM nasikia bei unanunua Vitz mpaka IST [emoji23]
Habari
Na ndugu yangu hata akitoka kuoga ile kubadilisha nguo tayari harufu nyumba nzima ya jasho kwenye kwenye kwapa.
Nadhani ana tatizo la kutoa jasho sana ila lina harufu kali haswa, ni msichana namuone huruma sana akianza chuo anaweza kosa amani.
Msaada wenu wataalamu hapa.
Katika pita zangu nikakutana na jamaa yangu akaniamboa amefanya maintenance kwenye mfumo wa umeme wa gari hasa ule unaoingia kwenye plugin gari imepunguza consumption ya mafuta kwa kiasi kikubwa .
Sasa nataka kujua uhusiano ukoje na nisehemu gani hasa ya umeme yakutizama.
Elimu haina mwisho!
Kwa zaidi ya masaa 2 inaonekana kuna tatizo la upatikanaji wa huduma ya internet kwa provider wengi, kwa tetesi nilizopata kuna tatizo kwenye mkongo wa taifa , kuna njia 2 za zimekatika imebaki 1 ambayo ndio tuna gombania hapa. Watalamu wa ku fuatilia wanaweza weka Updates hapa zaidi.
Nawasilisha
Hii kitu sijui kama wengi wanaifikiria , nataka kujua inabadilishwa baada ya KM ngapi na utajuaje inatakiwa kubadilishwa manake nasikia madhara yake ikikatika ni mabaya sana.
Pia kama ilikuwepo uliangiza japani labda gari ina milage ya 1350000 utajuaje ilibadilishwa ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.