Kama ulikuwa hujui CRDB wanakukata 10% kwa kila unapolipa kwa Dola ($) kutoka account yako ya Tsh. Mfano juzi nimelipia 216$ nilikuwa na salio la Tsh. 618,591.67 mwisho nimebaki na 75,993.47.
Japo wanadai hata mabenki mengine ndio hivyo hivyo.
Hii sio sawa kabisa 10% ni kubwa sana asee kwa...
Nani anawadanganya subaru hazina mafundi, ulisha enda pale kinondoni 0-60 garage ? Viti kuwa chini kuna tatizo gani? Au wewe ni mfupi sana, jua pia kiti kuwa chini inakupa stability barabarani kama gari ni nyepesi. Spare za subaru ziko kila kona, spare gani umetafuta ukakosa?
Yawezakana hata...
Niliwaambia onana alicheza ligi ya Rwanda haina nguvu kama ligi yetu .. ni kawaida saana.. mpaka sasa simba hatuna mshambuliaji kiongozi ambae anaweza fungu eneo lolote au eneo gumu kama alivyokuww Mayele.. we need bully striker hata 2
Hii ndio nataka sasa. Huwezi kuwa na timu ya wapambe na viongozi. Fyeka fyeka kabisa.. naanza mimi, hawa wachezaji wa njee hawastahili tena kuvaa jezi ya simba
1. Chama
2. Phiri
3. Baleke
4. Onana
5. Saido
Ndani punzisha Boko akina kapombe, Mohamed wapate mbadala , Israel apewa nafasi zaidi ni...
Mbona unaleta mambo yako ya familia huku kabla hata hujaenda hospitali ? Ona mizaa ilivyo mingi. Hizi teknolojia kuweni nazo makini. Nenda kwanza hospitali ukikwama ndio uje uombe ushauri hapa. Tujifunze kitunza faragha zetu.
Habari wadau, hizi gari zinaonekana kama sawa hivi, ila naomba elimu zaidi ya google.
Probox ya 2015 vs succed ya 2013 ipi nichukue?
Je ni kweli succed ni probox ilio boreshwa? Kama ni kweli mbona bado anatoa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.