Mtusaidie katika kila mnalofanya mtuachie amani ili tujishughulishe na maisha maana kikiwaka hapa hata huo muda wa kwenda kutafuta tutauokosa. Mungu ibariki Tanzania!
Watu tunapenda kusikia tunayopenda kusikia hata Kama si Kweli. Ni vigumu sana katika hisia za ushabiki kukubali kusikia Yale tusyotaka kusikia hata Kama ninkweli. Ndiyo maana hata katika forum Kama hii ambayo ni "for great thinkers" Watu hawajengi hoja pindi lile wasilopenda likiandikwa Bali...
You are right brother Msalani... Kwanza wanakiri kuwa "Jamani tuungane maana CCM Ina nguvu" Kumbe mnajua CCM Ina nguvu... Jipangeni sawa sawa.... Na ikiwezekana msajili UKAWA Kiwe chama cha Siasa.... Halafu kijana wenu ZITO Kabwe mmeamuacha wapi? Bado angewasaidia sana kuwa Mwenyekiti aw...
Problem ya vyama Vya Upinzani vinaendeshwa na matukio.... Kesho likiibuka jambo lingine wanalibebea bango. Kule bungeni wakazua kuwa hati ya Muungano haipo... Ilipotolewa sahihi zimegushiwa.... Baadaye Mpira kwapani haooooo... Kibanda maiti.... Makahakamani .... Kuungana. Huko Nyuma kuna tatizo...
Akiki za maiti! Ha ha haaaaaa... Unakumbuka wewe Mara ile Watu wangapi waliuliwa Pemba? Halafu nini.... Mwalimu Seif na Karume wakakutana ikulu wakanywa juice na kutoka na muafaka.... Nikuulize muafaka ule uliwataja waliokufa? Basi angalau wazazi wao wapate fidia kidogo (ingawa hakuna fidia...
Mimi natabiri kuwa UKAWA wakitoka mahakamani watasema "Hata mahakama nayo si huru ni ya CCM" Halafu baadhi ya wananchi watawauliza "Mbona mlipoteza fursa ya kurekebisha Hilo kwenye Bunge la Katiba" Jamani ni utabiri wangu tu. Msinipige Mawe.
Mimi natabiri kuwa UKAWA wakitoka mahakamani watasema "Hata mahakama nayo si huru ni ya CCM" Halafu baadhi ya wananchi watawauliza "Mbona mlipoteza fursa ya kurekebisha Hilo kwenye Bunge la Katiba" Jamani ni utabiri wangu tu.
Bigmukolo.... Are you serious? Una Masters na bado unamtegemea father? Come on - Masters yako ni katika nini? Be creative man and maximize your potential...
Acheni kumsingizia Mwalimu kwa kila Kitu. Hivi mnakumbuka maonyesho ya ndege za kivita 1980 (Kama nakumbuka vizuri) ndege yetu moja katika maonyesho Yale ilianguka na tukapoteza Marubani wawili. Ilikuwa ni enzi za Mwalimu. Kitu kikiisha kuwa Sheria ni jukumu la Jeshi kulinda. Maonyesho ya...
My friend... Nijibu nini? Mimi nimecomment mahojiano ya Warioba na Mwandishi.... Narudia tena... Kwamba Kama ambavyo mwandishi alikumbuka kumuuliza Mh. Warioba juu ya maoni binafsi ya Mh. Lukuvi kuhusu Jeshi na akasikitika San kuwa Hiyo ni sawa na kile alichokiita "Kutishia wananchi" basi...
Naomba sana tena sana.... Kwamba kwa kuwa mwandishi kakumbuka kumuuliza Mheshimiwa Warioba kuhusu Kauli ya Mh. Lubuva kuwa Jeshi linaweza kuchukua madaraka na Mh. Warioba alijubu kwa masikitiko makubwa kuwa Hiyo ni sawa na kutishia wananchi.... Basi naomba aniulizie maoni ya Mh. Warioba kuhusu...
But UKAWA if I am correct means "Umoja wa Katiba ya Wananchi" Now, you have walked out from the Bunge la Katiba. You said you want to go to Wananchi and tell them that you are not happy with the process in the house and that CCM is diverting the will of the people (three governments) according...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.