Umenena vema mkuu!...walichokifanya hao wakina Lowasa, sitta na membe ni kama "gun boat diplomacy"! ambayo ni aina ya diplomasia kama ilivyo mazungumzo ya mezani...na ni jambo la kawaida sana kwa mujibu wa nadharia ya "realism" ambayo imeegama ktk "power politics" inayotanabaisha kwamba "mkwara'...
hapa nawaona na nyie mnakurupuka kwa jazba zisizo na msingi!...hivi yeye alivyosema ni mdogo kwani ni lazima nyie m-conclude kuwa ni "udogo" wa umri?....inawezekana yeye alimaanisha ni "mdogo" kwa wadhifa katika "game" la siasa na si lazima nyie m-conclude kuwa ni "udogo" wa umri!
hapa nawaona na nyie mnakurupuka kwa jazba zisizo na msingi!...hivi yeye alivyosema ni mdogo kwani ni lazima nyie m-conclude kuwa ni "udogo" wa umri?....inawezekana yeye alimaanisha ni "mdogo" kwa wadhifa katika "game" la siasa na si lazima nyie m-conclude kuwa ni "udogo" wa umri!
hapa nawaona na nyie mnakurupuka kwa jazba zisizo na msingi!...hivi yeye alivyosema ni mdogo kwani ni lazima nyie m-conclude kuwa ni "udogo" wa umri?....inawezekana yeye alimaanisha ni "mdogo" kwa wadhifa katika "game" la siasa na si lazima nyie m-conclude kuwa ni "udogo" wa umri!
Uislamu ni dini ya Allah S.A.W na sisi waislamu hatuna migogoro yoyote inayohitaji kusuluhishwa ktk mahakama iwayo yote...so hatuhitaji mahakama ya kadhi wala ya uhalifu wa kivita!...ova!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.