Search results

  1. A

    Hivi ni kweli ukifanya biashara ili ufanikiwe lazima ufanye ushirikina?

    Naimani mko poa wana JF kama mada ilivyo naomba mchango wenu. Utasikia watu wengi wakisema kwenye siasa na biashara hauwezi kutoboa kama hujaenda kwa wale wazee wataalamu binafsi sina hakika kwenye ili wadau nyie mnaonaje. Naamini humu hayo makundi yote yamo tupeni experience wakuu.
  2. A

    Mke wa kuchaguliwa na wazazi na yule wa kuchagua mwenyewe

    Katika utafiti mdogo nilioufanya nimegundua asilimia kubwa ya ndoa zinazodumu ni zile ambazo kijana ametaftiwa mke na wazazi wake na yye akaridhia hilo Kijana wa leo haoni kuvunja ndoa kama ni shida maana ukifatilia sana utakuta waliokotana bila kujuana lolote hawa hata kuachana ni kawaida...
  3. A

    Mvumilie tu, hayupo aliyekamilika

    Natumaini hamjambo wale wagonjwa Mungu awaponye kwa uwezo wake, naandika hapa kwa uchungu jinsi nnavoona ndoa nyingi zinavyoteketea Hususan kwa vijana aged 25 to 40 niseme tu hili nalo ni janga kama majanga mengine Ninaavyoona mimi sababu hasa ni kutokuwa wavumilivu ni kweli kunammbo yanaboa to...
  4. A

    'Mitano tena' maana yake nini?

    Wadau natumaini mko poa, kuna hii kauli inazagaa sana kwenye social media hasa humu "jf" utaskia mtu anakoment jambo fulani mwisho anasema "MITANO TENA " kwa nnavyofikir mmi kauli hii kama vile imekaa kichochezi flani wwe unaonaje mdau
  5. A

    Biashara ya smu used

    Nawasalimu wana jf wote popote mlipo Naombeni msaada kwa mwenye uzoefu wa kununua simu used na kuziuza napenda kufanya hii biashara ila uzoefu ndo sina kuna jamaa alinambia Nairobi zinapatkana kwa bei nzuri naombeni wajuvi wa hili wanisaidie wapi naeza pata mzigo kwa bei nzuri
  6. A

    Alieacha kazi naomba anipe experience

    Natumain wana JF mko poa, mimi ni muajiriwa serikalini ila kiukweli siko interested na KUAJIRIWA hata kidogo na ilitokea tu nikaajiriwa maana sikua na namna. Nimejaribu kukubaliana na hali but naona niatesa nafsi yangu hivyo nimeamua niache niendelee kuwa mjasiriamali, aliyepitia hili naomba...
Back
Top Bottom