Naimani mko poa wana JF kama mada ilivyo naomba mchango wenu.
Utasikia watu wengi wakisema kwenye siasa na biashara hauwezi kutoboa kama hujaenda kwa wale wazee wataalamu binafsi sina hakika kwenye ili wadau nyie mnaonaje.
Naamini humu hayo makundi yote yamo tupeni experience wakuu.
Katika ndoa100, labda inaweza kupatikana 1 tena kwa bahat ambayo angalau kidoogo ina challenges ndogondogo.
Yaani sio walioshkilia dini, sio wapagani, sio wazee, sio vijana, sio vijijini wala mjini ndoa zimekuwa mateso hadi wengne kuamua kijiua.
Ukienda kwa wanaume wanasema sikuizi hamna...
Kwanza sio sahihi uamuzi ulioufanya wa kutoka na huyo binti but also wwe ni mvumilivu kiwango cha juu kukbali aendelee na mahusiano na familia ya ex wake mana yake bdo pia yupo close na ex wake tarajia kukatkea event ikawahusisha wew na ex wako sjui nni kitaendelae halafu inaonekana ukienda...
Katika utafiti mdogo nilioufanya nimegundua asilimia kubwa ya ndoa zinazodumu ni zile ambazo kijana ametaftiwa mke na wazazi wake na yye akaridhia hilo
Kijana wa leo haoni kuvunja ndoa kama ni shida maana ukifatilia sana utakuta waliokotana bila kujuana lolote hawa hata kuachana ni kawaida...
Natumaini hamjambo wale wagonjwa Mungu awaponye kwa uwezo wake, naandika hapa kwa uchungu jinsi nnavoona ndoa nyingi zinavyoteketea Hususan kwa vijana aged 25 to 40 niseme tu hili nalo ni janga kama majanga mengine
Ninaavyoona mimi sababu hasa ni kutokuwa wavumilivu ni kweli kunammbo yanaboa to...
Wadau natumaini mko poa, kuna hii kauli inazagaa sana kwenye social media hasa humu "jf" utaskia mtu anakoment jambo fulani mwisho anasema "MITANO TENA " kwa nnavyofikir mmi kauli hii kama vile imekaa kichochezi flani wwe unaonaje mdau
Mkuu hiyo hali inatokea watu wengi hasa wanaonza biashara kuumbuka hiyo biashara unayofanya wapo wengi wanaifanya pia so hapo ni kitendo cha kubadili mawazo ya wateja waje kwako wasiende kwa wengine na kuwatafta wapya na hiyo ndio kazi zenyewe wala usifkirie eti sjui mikosi hamna iyo skushauri...
Nawasalimu wana jf wote popote mlipo
Naombeni msaada kwa mwenye uzoefu wa kununua simu used na kuziuza napenda kufanya hii biashara ila uzoefu ndo sina kuna jamaa alinambia Nairobi zinapatkana kwa bei nzuri naombeni wajuvi wa hili wanisaidie wapi naeza pata mzigo kwa bei nzuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.