Mtandao wa SMILE haupatikani na simu zao za customer service hazipatikani wala tovui yao haiko hewani. Wamefunga duka kwa maana ya mufilisi au mvua zimeleta mushkeli?
Mkuu,
Heshima yako.
Unajua katika kukua kiroho,unaweza ukagain kwa kulose. Nikiwa na maana unapoteza vitu vilivyokuwa vinakufanya usiweko kwenye uwepo wa Mungu kwa mfano uzinzi, choyo, hasira, pride etc. Mwisho wa siku unakuwa umegain.
Ukiwa unaangalia kama mtu amepata gari sijui nyumba baada...
Mkuu,
Naomba ucheki tena facts zako. Nakumbuka kama alifia Muhimbili na alikuwa anaumwa. Ila nimecheki kwenye JF yenye linki nii, comment ya 6
Orodha ya wasomi tuliopoteza - JamiiForums
Mkuu,
Nenda Maliasili haraka sana. Watakusaidia.
Kinachofuatia ni nyoka kubomoa na kutoka nje. Madhara yake yatakuwa makubwa sana.
Usiwape chakula
Weka maji yenye sumu. Nunua Thiodan uweke
Kamanda,
Sijapenda maswali yako. Mepesi mno na yanaonyesha jinsi gani hupendi kufanya utafiti kidogo. Hatari yake ni kwamba utajikuta unapewa wrong information na ukajikuta unaamini vitu vya ajabu......
Hongera Dawasco. Good move. Nadhani mkizingatia ushauri mliopewa humu ndani,mambo yatakuwa mazuri. Ni aibu kwa nchi, pamoja na vyanzo vya maji vingi tulivyo navyo, bado wanahangaika kupata maji safi na salama.
Amri kuu kuliko yote aliyotuambia Bwana wetu Yesu Kristu nu UPENDO. Upendo haubagui,hauna visa,visasi wala chuki. Mwenzako akikukosea,muombee.
Naona Lusekelo amesahau huu msingi mkuu wa dini ya kikristu. Amekuwa akitoa matamshi makali kwa watu mbali mbali yenye lengo la kuharibu badala ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.