kwa bahati mbaya ameshindwa Jimbo la Arusha liko wazi. G. Lema usikate tamaa. tuko pamoja. Naungana na Kauli ya Nassari "Tulianza na Mungu na Tutamaliza na Mungu"
Du! kweli hii imekaa vibaya. hakuna taarifa ambayo imenisikitisha kama hiyo. Wanachadema wa Arusha Pls msife moyo. bado nafasi mnayo kutetea kiti chenu. Na pia muwe na uvumilivu epukeni vurugu kwa maslahi ya WanaArusha
Hongera sana Nassar, Pia pongezi nyingi kwa Chama (CHADEMA) kwa sera nzuri hadi wananchi wakawakubali. Ni ushindi wa kishindo kikubwa sana nimejaribu kuangalia kura za 2010 na za leo kutoka 15 hadi 32 kweli nimeamini chadema inapiga kasi. mwendo mdundo. Cjui ndugu zangu wana CCM tunajifunza nini...
mimi nahisi kuna watu huwa hawalali usingizi wa sababu ya huyu EL. Sion maana ya hii topic. vyovyote mtakavyomwita yeye hajali anasonga mbele. Hivi kwa nini mnaumiza vichwa kwa mtu ambaye hata kujibu hajibu? unafikiri yeye hana akili? ana mengi ya kuwaza yenye maana kuliko nyie mnaowaza kila...
Hi everyone.
Mimi ni mgeni humu javini naomba kuchangia hii mada.
Kifupi acha kuwapotezea muda hao kinadada. Wewe si muoaji. ungekuwa muoaji muda mrefu ungekuwa umefanya maamuzi wa yule ambaye ulianza naye. kwanza unasema unawanawake 3 uliwapata kwa pamoja au kwa nyakati tofauti? nimekuona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.