Basically si jambo baya kwa kila mwana CCM mwenye vigezo kuonyesha nia ya kugombe urais kwani ni haki yake ya msingi kikatiba. Bahati mbaya ni kwamba si wote wenye vigezo wana uwezo. Tafsiri yangu ya haraka ni kwamba kuna makundi matatu katika hawa wote, kundi la kwanza ni wale wenye nia thabiti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.