24 ni bonge moja ya serieries ambayo imebeba uhalisia mkubwa sana hasa katika mambo ya usalama na governance.
Prison break si kwamba ni mbaya inautamu wake ila 24 funika bovu asee..
Nashukuru sana mkuu. Endelea kutufumbua macho hata kwa makadirio ya mzigo wa kuanzia unaweza kugharimu shilingi ngapi na hata whole sellers ambao wana bei nzuri na dawa nzuri.
Asante mkuu, ishu ni kwamba nimejaribu kufanya baadhi ya mapitio ya taratibu za ufunguaji pharmacy kupitia machapisho mbalimbali ya TFDA, kuna baadhi naona eneo nililopata frame yanakidhi, kuhusu renovation si kwamba anatakiwa apaone kwanza ndo nianze kufanya renovation?
Mkuu sonaderm, asante kwa ufafanuzi wako mzuri sana. Nahitaji muongozo wako, nimepata fremu na ningependa kufanya biashara hii, ila kwa mfamasia amekua akinizungusha zungusha kuja kuona mazingira kama yapo katika standard zao, vipi kuna jinsi nyingine naweza kufanya?
Heshima mbele wanajamvi.
Nina mtaji wa shilingi milioni 10 za kitanzania, nipo Dodoma mjini nafikiria kufungua duka la kuuza marumaru (tiles) na gypsum board. Naombeni ushauri wenu kwa mlio na uzoefu wa biashara hii, je kwa mtaji huo inawezekana kupata mzigo wa kutosha?
Na je upatikanaji wa...
Hahahaaaaa, pole sana mkuu. Lakini umeacha mke nyumbani, kwa nini ulikubali kwenda huko kwa wenye nazo?
Mshukuru sana jamaa ako, ila pia hilo ni fundisho, stop cheating kwa wadada wakufikia tu usiojua status zao.
Pole sana ndugu yangu, hiyo ndoa siyo tukufu tena kama ulivyosema. Umeshaivuruga kutokana na tamaa zako za kimwili. Hata ukimuuliza vipi huyo house girl hawezi kukwambia anatoka na nani hapo mtaani, na mkeo akisema amuhoji juu ya utendaji wake wa kazi ndo basi kabisa anaweza pasua jipu.
Cha...
Hatari kwa ndoa yako hiyo mkuu.
Unaposema bado anakupenda ina maana pamoja na kwamba umeoa hatambui kwamba you now belong somewhere?
Acha hiyo ndugu nakushauri usiende, hutarudi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.