Kwa kuanza Kabila langu Mnyakyusa!
Elimu Masters of science in Finance
Shughuli mwajiriwa wa Kampuni binafsi ya Kimataifa (Ulaya Magharibi)
Umri 33 sina mtoto
Umbo : Mrefu Mweusi si mwembamba sana wastani meter 1.65
Uzito Kg 73.
Kipato Monthly income 2300-3000$
natafta Mke wa Kuoa ambaye...
Nilitangaza kutafta mke ila vigezo tajwa Wengi hawakuvitimiza kwa ufasaha
1.Mwanamke mkristo
2.Mwanamke siyo mwembamba ila awe na umbo mashalah (wamejitokeza wenye unene wa tumbo)
3.Elimu sikuijali sana
4.Sikutaka mfupi, sitaki kafupi,
Wengi waliojitokeza na kati ya hao sifa hawana
Nishaandika week hii, nimeugulia Sana Maumivu, nataman kua na mwenza lakin kila nikiwaza jinsi ya Kumpata mwenye vigezo navyotaka nahisi ugumu,
Imefika hatua nawaogopa wanawake kuanzisha nao mahusiano yaliyopita serious kwa ajili ndoa, kwakuwa kila nikianza fikiria maumivu ntakayopata pindi...
Nishaandika week hii, nimeugulia Sana Maumivu, natamani kuwa na mwenza lakini kila nikiwaza jinsi ya kumpata mwenye vigezo navyotaka nahisi ugumu.
Imefika hatua nawaogopa wanawake kuanzisha nao mahusiano yaliyopita serious kwa ajili ndoa, kwakuwa kila nikianza fikiria maumivu ntakayopata pindi...
Mimi nina maumivu makali, yawezekana kutokana na machungu niliyonayo yatasababisha nisimlie kwa mpangilio usio sahihi
Ilikuwa Mwaka 2019 mwezi wa 8 nikaenda Mitaa fulan ya Dar as salaam.
Nikaonana na binti mmoja ambaye alionekana mtulivu, ikafika hatua tukawa wote kwenye mahusiano.
Baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.