Kwanza nitangulie kusema CHEDEMA tumekata rufaa lakini hatuachi taadhali ya kujipanga tukishindwa. Kama wadau tusaidieni akiomba ridhaa ya chama sisi wadau wa Chama hapa A town tumfikirie tusaidieni makamanda.
Nawasilisha.
kwatathimini iliyofanywa mapema hii! Maeneo yote ambako mabomu yalipigwa Chadema kimeshinda mfano Arumeru mashariki, Kirumba, Kiwira na Songea. Lakini hali haikuwa nzuri kwa Chadema maeneo ambayo Chadema haikushinda. Nawashauri wale wanaosaidia ushindi wa CCM hakuna haja ya kuiba kura, tatizo ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.