tatizo Utanganyika wetu ulishapotezwa kisaikolojia..ona wazanzibar wanavojiita 'wazanzibar'..ni lini mtanganyika amewahi kujitambua kama yeye ni mtanganyika!? Hivi kweli utaifa we2 umezwe na kajisehemu kakutembea masa 2 na kukamaliza? We need our Tanganyika
hivi 2015 ccm wakiweka mgombea mkristo,ndugu zangu waislam mtapiga kwa chama gan?..lingine, mnadai mmetengwa na kunyanyaswa na serikali tangu uhuru,je serikali iliyowatenga ni ya chadema ee? Kweli kumtawala mpumbav ni rahic..elim ni ki2 cha msing sana
pengo*katoliki; anampigia debe pinda,k.k.k.t wanampigia debe lowasa for2015 sasa chadema ni kanisa gan?..maana nnavojua mimi kanisa katoliki ni mshirika mkubwa wa ccm..rejea kauli za ask.kilain 2005...memorundum of as 92..lowasa na makanisa..sijui chadema walikuwepo?
mimi ni mfuasi wa chadema,lakin kuna jambo 2mefichwa hapa. Sidhani kama alichosema mbowe ndio tu kilichojadiliwa..hivi kuna lolote la msing 2meambiwa hapo? Kwanin bas wasingesema makubaliano ni siri? Mmmh kuna doubts nying sana on myside hasa nlipotazama aina ya wat waliokuwepo! Lukuv,tyson na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.