Inasikitisha sana kuona wanasiasa wetu wanaojiita wazalendo, kuwa na malimbikizo na misururu ya marupurupu na posho starehe, kusinzia, kupiga meza na kupongezana kuchaguliwa tena, tena wakiwa hawakatwi kodi na baada tu ya muhula wao kwisha ,bila kuchelewa, wameshachukua chao.
TENA...
Nahuzuni moyoni mimi siimbi nalia,
Ulituahidi mengi, binafsi nayalilia,
"Hapa kazi tu!" ndio kauli uliyotuachia,
kwa bidii tulijituma, na mengi tuliachilia,
Ulitufundisha uzalendo, kazi kwanza mazuri yangetujilia,
Uwajibikaji kwanza, ndo kigezo cha kuinuliwa,
Tumbuatumbua, "surgeon" kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.