Habari wakurugenzi..!
Binafsi nimekuwa nikimfatilia sana mkuu wa wilaya wa Hai aliyepita ndugu Sabaya.
Kiukweli nimefuatilia interview zake na pamoja na wale wanaomshutumu nyingi zinaonyesha zina ukakasi yaani zinaweza zikawa sio shutuma za kweli juu yake bali za kupika.
Ukiangalia utaona...
Habari zenu waheshimiwa!
Binafsi ni muhitimu wa ngazi ya shahada ya kwanza katika nyanja ya uhandisi migodi na uchenjuaji.
Ninaomba msaada kwa yeyote mwenye connection ya kazi nyanja yoyote anisaidie.
Nina uzoefu katika usimamiaji wa crusher na plant kama production supervisor katika kiwanda...
Habari zenu wanajamvi..!
Binafsi ni muhitimu wa ngazi ya shahada ya kwanza katika kada ya uchimanji madini (BsC in Mining Engineering) .
Ninaomba msaada kwa yeyote mwenye connection ya kazi katika migodi anisaidie.
Nina uzoefu katika usimamiaji wa crusher na plant .
Pia nina leseni ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.