Search results

  1. S

    Nimefuatilia shutuma nyingi dhidi ya Sabaya zinaonesha zina ukakasi. Hongera Rais kwa kuruhusu uchunguzi juu yake

    Habari wakurugenzi..! Binafsi nimekuwa nikimfatilia sana mkuu wa wilaya wa Hai aliyepita ndugu Sabaya. Kiukweli nimefuatilia interview zake na pamoja na wale wanaomshutumu nyingi zinaonyesha zina ukakasi yaani zinaweza zikawa sio shutuma za kweli juu yake bali za kupika. Ukiangalia utaona...
  2. S

    Natafuta ajira au kazi yoyote maalum ya kuingiza kipato

    Nimeupokea ushauri wako kaka..!🙏🙏
  3. S

    Natafuta ajira au kazi yoyote maalum ya kuingiza kipato

    Habari zenu waheshimiwa! Binafsi ni muhitimu wa ngazi ya shahada ya kwanza katika nyanja ya uhandisi migodi na uchenjuaji. Ninaomba msaada kwa yeyote mwenye connection ya kazi nyanja yoyote anisaidie. Nina uzoefu katika usimamiaji wa crusher na plant kama production supervisor katika kiwanda...
  4. S

    Msaada mwenye connection ya kazi za migodini

    Habari zenu wanajamvi..! Binafsi ni muhitimu wa ngazi ya shahada ya kwanza katika kada ya uchimanji madini (BsC in Mining Engineering) . Ninaomba msaada kwa yeyote mwenye connection ya kazi katika migodi anisaidie. Nina uzoefu katika usimamiaji wa crusher na plant . Pia nina leseni ya...
Back
Top Bottom