we naona unabadilisha mada! Mi namshambulia kupe?sio yeye amenishambulia?ama kweli nyie ndo watanzania halisi!soma comments za kupe! Then pitia maneno yako! Afu muungwana kama huna majibu ya kilichoombwa na fikiri ni busara kufunga page na kuendelea na mambo mengine!huwez jua kwanini natafuta...
we kumbe kupe! hata mada huijui, siasa hujui, plan za wamarekani hujui basi umeingia kwenye group ya great thinkers unajiona na wewe great thinkers! anyway tupo hapa kuwasaidia, usa ni nchi inayoongoza kuratibu tukio kupitia mgongo wa mtu au nchi ikiwa inataka jambo fulani! uafrika wako sio hoja...
kidogo nikushukuru nikijua labda jina unalo! labda nikueleweshe! hili tukio ni event ilipangwa kwa maslahi yao binafsi!linafikirika kwani hakuna adui wa marekani anaitwa Osama, ni jinsi wao wenyewe walivyocheza na karata na kuaminisha dunia juu ya osama huku wao wakiwa na siri moyoni mwao!
Ndugu wadau, ikiwa leo ni maadhimisho ya mashumbulio ya kigaidi yanayofikirika kufanya na Osama, naomba msaada mwenye kujua jina la kitabu kilichotolewa na mtanzania aliyeelezea jinsi tukio la sept 11 lilivyopangwa!
ukimaliza unachofanya nenda gereji iliyopo karibu, waambie wafunue kichwa chako wakaze tena hizo nuts,then mwite fundi welding achomelee zisiachie tena!unaabisha na post zako za chekechea!
jamani hivi mtu kama rajeo anayeendekeza uchochezi wa kikabila administrator wa hii forum yuko wapi????kazi yenu ni nini hasa hali mshajua kuwa ukabila, udini ni sumu kwa ustawi wa taifa letu!naomba huyu mtu anayejiita rajeoafungiwe haraka sana
nadhani uelewa wako wa sheria wako na polisi wako ni mdogo mno,hivi uanjua polisi anatakiwa kufanya nini kwa mwanchi au kwa kuwa wananchi elimu ya urai kwao ni ndogo sana?usitetee uovu, everything is already naked! Time is almost up!
Nimekuwa nikifatilia hii channel via startives taklibani miezi miwili sasa, hii cahnnel imekuwa ikiniboa sana kwa kukosekana kwa sauti,yani unaangalia picha tu kama unaangalia album, tunaomba uongozi wa clouds ukishrikiana na startimes mshughulikie tatizo hilo kwa tunakosa uhondo wa sportbar!ni...
thanks guys for your good and chelenging advise, i do appriciate for what u contributed on thisn topic, no one to blame other than me myself and i, its a result from wrongs doing commited by myself, i feel bad for everything, i bag sorry to you guys to my gf, to my brothers and sisters, sorry to...
i am so sorry guys, i am not quiet sure why i did this, i feel a burde on my shoulders, i felt members in jf will my lean on point but most of them are pushing me on the turnel!please guys accept my a apology, i am even planning to talk with my girlfriend about this in the coming two to three...
Nina mtu wangu na nampenda sana, kuna siku nilimake apointment na mdogowake na gf wangu na lengo kuna ishu nilitaka kujua juu ya gf wangu, cha ajabu alimponda sana dada yake, sikujali zaidi niliona vema nifanye analysis ndo nihukum, wakati tupo kwenye gari namrudisha shem wangu alikuwa mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.