#1
Wakuu nawasalimu kwa heshima zote..
Mimi ni muhangaikaji mwezenu, niko katika harakati za kutafuta riziki ili mkono uende kinywani...
Kama tujuavyo vijana wengi tupo ktk zahama kubwa ya ukosefu wa ajira hapa nchini haswahaswa graduate wa kada mbalimbali, hivyo basi inabid kama kijana ili...
Wakuu nawasalimu kwa heshima zote..
Mimi ni muhangaikaji mwezenu, niko katika harakati za kutafuta riziki ili mkono uende kinywani...
Kama tujuavyo vijana wengi tupo ktk zahama kubwa ya ukosefu wa ajira hapa nchini haswahaswa graduate wa kada mbalimbali, hivyo basi inabid kama kijana ili maisha...
Siamini macho yangu kama inafika kipindi mtu unafilisika mpaka mawazo, yaani hujui nini cha kufanya ili maisha yasonge mbele lkn ukweli mtupu haya ndo ninayopitia Mtanzania mwezenu.
Historia yangu kiufupi ni hivi, Mimi ni muhitimu chuo kikuu (UDSM) kada ya ualimu wa sanaa (Art), na kama mjuavyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.