Nyingine iliyoniboa ni ile iliyozima mgomo wa uliokuwa umeandaliwa na tucta akiongea na wazee wa dsm. Nafikiri watanzania wote tunapaswa kupimwa akili. tunawezaje kuongozwa na mzee kama huyu.
Hivi hii dhana ya polisi jamii mnaionaje wana JF, inawezekana vipi wakati polisi na wananchi ni maadui? umefika wakati ni heri kukutana na mwizi kuliko kukutana na polisi. hii ndiyo miaka hamsini ya uhuru?
Mimi naanza kuingiwa na mashaka na cdm. nchi inaangamia hii na wao ndio tunafikiri watatuongoza ktk kuiokoa. Ni kweli wanapiga kelele lakini kuna maamuzi magumu ambayo wanapaswa kututangazia ili tuanze utekelezaji mbona hawasemi wamekaa kimya? au kile kikao chao na MH wa magogoni walipewa kitu...
this is too much umefika wakati sasa watanzania ni lazima wachukue hatua juu ya mustakabali wa nchi yao kwa sababu waliowakabidhi mali kuilinda wanashirikiana wa wezi kuwaibia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.