Hii ya orijino inazidi kujirudia. Unakumbuka tundulissu Mtwara alisema wako laki 9 Wana Wabunge 10 Zanzibar wako laki 9 pia Wana Wabunge 50? Akasema Katiba orijino1962 ilisema Kariakoo iwe Wabunge 70 Singinda mbunge 1 Tabora Wabunge 2.
Mjukuu wa Karume ana tatizo binafsi hakukaa kikarumekarume. It's best to ignore her - ni katika bundi walioishukia TLS. Chalamila ni Rais kama Kuna kosa (mie silioni) alaumiwe aliyempa Urais ambao ni Watanzania asilimia 87% huku bundi wa TLS tundulissu akaambulia 13%•
Inaonelana Mjumbe tayari una jibu lako mfukoni, sioni kama una niacya dhati kuelimishwa. Lakini ngoja nijsribu. Rais ni Rais wa Kila mtu,ni kama Mbinge ambaye Jimbo lake ni Nji nzima. Ndiye Mkuu wa Nji, Amiri Mkuu wa Majeshi. Anaweza kuthibitisha unyongwe au usinyongwe. Mtu hiyo Si maskhara...
CHADEMA bila vyombo vya ulinzi hawatoboi. Hamas ni hivyo hivyo. Na KANU. Na INTEREHAMWE. Are you saying enzi ya leo utakaa hata dakika moja bila Polisi?
Huyu bwana na matata kweli kweli. Kaandika kitabu kizuri sana kinaitwa THE LIFE AND TIMES OF ABDULWAHEED SYKES, THE MUSLIM STRUGGLE FOR THE INDEPENDENCE OF TANGANYIKA. Kila mwenye nia ya kujua historia sahihi ya Nji hii ni lazima akisome kitabu hiki kinauzwa pale TPH. Angalizo ni kwamba baada ya...
CHADEMA walifanya juhudi zote ashinde shoga Askofu Bagonza mwenziye Lissu walilala pamoja 2020 kwenye campaign. Wametumia hela, wametumia redio, na TV, na whattssap, lakini wapi!! Sasa hawana raha, Askofu kakataa maandamano.
Nenda Kenya - sehemu yote County ya Wajir haina umeme huu mwezi wa pili. Na Johannesburg wana rationining ya wiki moja moja. Mshukuru Mungu hatuna uozo huo.
Hawakushibana, washibane nini? Kama ni ukabila mbowe na Askofu Shao kwao kumoja. Bagonza is was a conman, nadhani wana ka agenda ka ushoga kama walivyokumbatiana siku ile madhabahuni na Tundu wakati wa campaign.
Huu ni mwendelezo. Papa Yohana Paulo 2 alipokuja 1991 alimkumbatia Nyerere akasema huyu ni Baba wa Taifa la ulimwengu. Ni ajabu kuona CHADEMA wanataka kuharibu hadhi hii kwa njia ya kumtumia Padri Charles Kitima. Sasa kaingia Askofu Malasusa naona safari zake Kenyakenya kutafuta tumehuru zitapungua
Sikumbuki kama kuna mtu kaulizia tatizo la samaki aina ya Ningu kupungua Ziwa Victoria. Kulikoni? Wala hakuna aliyeongea juu ya pundamilia sasa wamejaa pande za Maswa na Meatu, kulikoni? Na tumehuru ya mbowe hivohivo, sikumbuki kuisikia. Totally irrelevant!
Kauliza swali (kama sikosei ni Mnyakyusa. Tanzania bila Wanyakyusa ni sawa na India bila Wahindi Weusi). Aliuliza: SIKULELEWA KUTOKUWA UPANDE WA SERKALI. Kasema kuna mwumini (hakumtaja) alimwuliza kama yuko na Serkali - mwumini huyo ni mbowe. Walifanya juu chini ashinde Bagonza but where!
Ukonga unayoiongelea ndugu yangu ni ipi, mbona pamekaa vizuri? Sehemu nyingi Jimbo la Ukonga actually ni taasisi za Taifa tunajivunia - magereza, Airport, TAZARA, mnada wa ng'ombe, Police Air Force, Puguseco, SGR ishapita na mwendokasi iko TAZARA. Si ingekuwa bora wana Ukonga mkajivunia Mbunge...
Safi sana - sasa hii uiweke kwenye Ilani ya CHADEMA kwa 2025. Ila sijui ni nani ataipeperusha safari hii - ni mwanaCCM Luhaga Mpinaaaaa au ni silent kada wenu Padri Charles Kitima? Maana CHADEMA kama CHADEMA sioni mtu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.