Search results

  1. L

    Kuchapisha Fomu Moja 2025 Kwa mgombea wa CCM, Demokrasia imezingatiwa?

    Hii ya orijino inazidi kujirudia. Unakumbuka tundulissu Mtwara alisema wako laki 9 Wana Wabunge 10 Zanzibar wako laki 9 pia Wana Wabunge 50? Akasema Katiba orijino1962 ilisema Kariakoo iwe Wabunge 70 Singinda mbunge 1 Tabora Wabunge 2.
  2. L

    Fatma Karume: RC Chalamila acha ubabe mdogo wangu Serikali si yako ni yetu sote!

    Mjukuu wa Karume ana tatizo binafsi hakukaa kikarumekarume. It's best to ignore her - ni katika bundi walioishukia TLS. Chalamila ni Rais kama Kuna kosa (mie silioni) alaumiwe aliyempa Urais ambao ni Watanzania asilimia 87% huku bundi wa TLS tundulissu akaambulia 13%•
  3. L

    Kati ya Ukatibu Mkuu wa Chama na Ukuu wa Mkoa kipi ni cheo kikubwa?

    Inaonelana Mjumbe tayari una jibu lako mfukoni, sioni kama una niacya dhati kuelimishwa. Lakini ngoja nijsribu. Rais ni Rais wa Kila mtu,ni kama Mbinge ambaye Jimbo lake ni Nji nzima. Ndiye Mkuu wa Nji, Amiri Mkuu wa Majeshi. Anaweza kuthibitisha unyongwe au usinyongwe. Mtu hiyo Si maskhara...
  4. L

    Upendo Peneza: Viongozi CHADEMA wanakitumia chama kama duka lao

    Never trust your sister? Your mother? Your President? So, who wii YOU trust?
  5. L

    Askofu Malasusa: Sijalelewa kuwa Kinyume na Serikali, Sijalelewa kutoitii Serikali

    Mwumini aliyemoigia simu ni mbowe, hakuhudhuriavile harambee ya ujenzi kanisa
  6. L

    Mkubali ama mkatae ukweli utabaki pale pale kwamba CCM nchi imeshawashinda hii, kuna haja ya kufanya jambo 2025

    CHADEMA bila vyombo vya ulinzi hawatoboi. Hamas ni hivyo hivyo. Na KANU. Na INTEREHAMWE. Are you saying enzi ya leo utakaa hata dakika moja bila Polisi?
  7. L

    Kwanini Mapinduzi ya Zanzibar huitwa "Mapinduzi Matukufu"?

    Huyu bwana na matata kweli kweli. Kaandika kitabu kizuri sana kinaitwa THE LIFE AND TIMES OF ABDULWAHEED SYKES, THE MUSLIM STRUGGLE FOR THE INDEPENDENCE OF TANGANYIKA. Kila mwenye nia ya kujua historia sahihi ya Nji hii ni lazima akisome kitabu hiki kinauzwa pale TPH. Angalizo ni kwamba baada ya...
  8. L

    Askofu Benson Bagonza: Askofu Malasusa anapokea uongozi wa KKKT kutoka kwa Dk Shoo huku kanisa likigubikwa na madeni yanayotokana na ubadhirifu

    Duh! Is this true? Yaani sandaka na zakat kwa Ask Shoo kunde zilikuwa zinaenda CHADEMA? Sasa itakuwaje?
  9. L

    Je, KKKT ni mpinzani mpya wa CHADEMA?

    Kweli kabisa.
  10. L

    Je, KKKT ni mpinzani mpya wa CHADEMA?

    CHADEMA walifanya juhudi zote ashinde shoga Askofu Bagonza mwenziye Lissu walilala pamoja 2020 kwenye campaign. Wametumia hela, wametumia redio, na TV, na whattssap, lakini wapi!! Sasa hawana raha, Askofu kakataa maandamano.
  11. L

    Hili la Umeme linatosha kuitoa serikali madarakani, Serikali ifanye jitihada za dharula kuweka hali sawa

    Nenda Kenya - sehemu yote County ya Wajir haina umeme huu mwezi wa pili. Na Johannesburg wana rationining ya wiki moja moja. Mshukuru Mungu hatuna uozo huo.
  12. L

    Askofu Malasusa: Sijalelewa kuwa Kinyume na Serikali, Sijalelewa kutoitii Serikali

    Hawakushibana, washibane nini? Kama ni ukabila mbowe na Askofu Shao kwao kumoja. Bagonza is was a conman, nadhani wana ka agenda ka ushoga kama walivyokumbatiana siku ile madhabahuni na Tundu wakati wa campaign.
  13. L

    Askofu Malasusa: Sijalelewa kuwa Kinyume na Serikali, Sijalelewa kutoitii Serikali

    Kura za Bagonza hazikutosha pamoja na sapoti ya Askofu Shao na wachungaji wake.
  14. L

    Rais Samia aalikwa na Baba Matakatifu Francis Mjini Vatican kwa mazungumzo rasmi ya siku mbili

    Huu ni mwendelezo. Papa Yohana Paulo 2 alipokuja 1991 alimkumbatia Nyerere akasema huyu ni Baba wa Taifa la ulimwengu. Ni ajabu kuona CHADEMA wanataka kuharibu hadhi hii kwa njia ya kumtumia Padri Charles Kitima. Sasa kaingia Askofu Malasusa naona safari zake Kenyakenya kutafuta tumehuru zitapungua
  15. L

    Rais Samia: Vijana hawaoi na wala kuolewa kuna tatizo kwenye jamii ya kitanzania

    Sikumbuki kama kuna mtu kaulizia tatizo la samaki aina ya Ningu kupungua Ziwa Victoria. Kulikoni? Wala hakuna aliyeongea juu ya pundamilia sasa wamejaa pande za Maswa na Meatu, kulikoni? Na tumehuru ya mbowe hivohivo, sikumbuki kuisikia. Totally irrelevant!
  16. L

    Malasusa naye ni Chawa

    Kauliza swali (kama sikosei ni Mnyakyusa. Tanzania bila Wanyakyusa ni sawa na India bila Wahindi Weusi). Aliuliza: SIKULELEWA KUTOKUWA UPANDE WA SERKALI. Kasema kuna mwumini (hakumtaja) alimwuliza kama yuko na Serkali - mwumini huyo ni mbowe. Walifanya juu chini ashinde Bagonza but where!
  17. L

    Tundu Lissu hajawahi kunyamaza na hatonyamazishwa kamwe

    Wafungwa? Kwa nini wamefungwa? Siyo kwamba walivunja sheria? Hili gereza wamo waliohukumiwa kunyongwa, hawa ndiyo mashujaa wa Tundu?
  18. L

    Jerry Silaa tunakuhitaji Ukonga kwa sababu zifuatazo

    Ukonga unayoiongelea ndugu yangu ni ipi, mbona pamekaa vizuri? Sehemu nyingi Jimbo la Ukonga actually ni taasisi za Taifa tunajivunia - magereza, Airport, TAZARA, mnada wa ng'ombe, Police Air Force, Puguseco, SGR ishapita na mwendokasi iko TAZARA. Si ingekuwa bora wana Ukonga mkajivunia Mbunge...
  19. L

    CCM tunaomba 2025 msituletee marais wa kujiokoteza okoteza, huyu wa Kizimkazi asipite hata kwenye top 10 yenu ya mapendekezo

    Safi sana - sasa hii uiweke kwenye Ilani ya CHADEMA kwa 2025. Ila sijui ni nani ataipeperusha safari hii - ni mwanaCCM Luhaga Mpinaaaaa au ni silent kada wenu Padri Charles Kitima? Maana CHADEMA kama CHADEMA sioni mtu.
Back
Top Bottom