Nipo katika same situation naww,nimelogwa mm mpaka familia yangu yaani wazazi. Nimefungwa nisipate kazi, nisipate mtoto(nishawapa ujauzito wanawake wawili mimba 4 zimetoka),biashara 2 za familia zimekufa kimazingaombwe sana. Tumehangaika sana kujitoa kifungoni ila wapi. Nimetumia sana chumvi ya...
Eti katika dini pekee iliokataza ushirikina ni uislamu[emoji16][emoji16]. Hivi unajua uko duniani kuna dini ya Buddha na Hindu (ukiacha ukristo na uislamu)? Hizo dini zote umezipitia na kuona ni uislamu pekee unaokataza ushirikina?
Nimeona una uwezo mdogo sana wa kujaji mambo, umekaririshwa na...
Ukristo ni ukafiri? Acha upopoma ww shwain. Hivi umewahi kutana na mganga mkristo? au jini la kikristo?
Jibu hayo maswali mawili nijue una upopoma kiasi gani.
Mkuu dini sio kabila kwamba huwezi kubadili. Kingine hizi dini tumeletewa na zote zinamuabudu Mungu mmoja. Sali dini ambayo inakupa amani ya moyo. Maisha mafupi na magumu sana kuanza kuumiza kichwa uwe dini gani wakati tayari umeshaoneshwa dini sahihi ya kuifata.
Kuhusu watoto ningependa...
Mkuu ashakumu si matusi,
wewe pamoja na man biznes nyuzi zenu za hivi karibuni zimekua zikinikera sana. Mnanipa mashaka hayo mafuvu yenu kama yana ubongo kweli?
Mkuu take it easy, kwa upande wangu nilemzidi umri akinambia hivyo huwa namjibu sijambo kisha namalizia shikamoo. Huwa lazima ajione mduwanzi na harudii tena siku nyingine kuniuliza ujambo?
Akirudia siku nyingine ujue nati zimelegea kichwani huyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.