Ni kweli, mwenye hiyo namba aliwahi kunitumia sms akijifanya kuwa ni mfanyakazi mwenzangu, tena kataja majina yote, eti yuko hospitali nimtumie hela (alitaka 40,000). Alichokosea ni kuwa huyo aliyemtaja, kwa cheo chake asingeweza kuniomba hela, alafu hela yenyewe 40,000. Nilipoenda idarani...
Mimi hili naliona ni hatari sana kwa nchi. Niwakumbushe kuwa kipindi cha nyuma (70s) ulitokea mgomo wa wanafunzi chuo kikuu. Serikali ikawalazimisha tena kwa vitisho, mgomo ukaisha. Lakini wakaapa kuwa wataenda kutumikia nchi miili tu sio roho zao. Kwa tathmini yangu hiyo batch ya wanafunzi...
Mimihili naliona ni hatari sana kwa nchi. Niwakumbushe kuwa kipindi cha nyuma (70s) ulitokea mgomo wa wanafunzi chuo kikuu. Serikali ikawalazimisha tena kwa vitisho, mgomo ukaisha. Lakini wakaapa kuwa wataenda kutumikia nchi miili tu sio roho zao. Kwa tathmini yangu hiyo batch ya wanafunzi...
Kwa yale yaliyoripotiwa hapa kwenye forum hakuna mahali ambapo walikubaliana Raisi asisaini. Mh. Mnyika alisaini bila kuwa makini, au alisaini kwa uelewa wote na sasa kwa kuona watu hawakuridhika anatoa visingizio. Nadhani tujifunze kuwa nchi imefika hapa (pabaja) kwa viongozi kutia saini kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.