Congratulations to Guardian for eloborative, eloquent and superb investigative journalism.
Mmeonyesha njia na hii ndiyo aina ya uandishi wa habari unaosaidia na kuendeleza jamii kwa ajili ya Umoja, Amani na Upendo wa raia wa JMT.
Sasa kilichobakia ni kwa sisi wananchi kupitia taasisi zetu...
Nalitamani sana kama ungeweza kutengeneza statistics/ summary nzuri kwenye hiyo database yako kwa kila mkoa.
Mfano:
>Idadi ya majimbo kila mkoa
>Wagombea wanawake / wanaume kwa kila mkoa
>Wenye elimu Msingi/Sekondari/Chuo Kikuu kwa kila mkoa
>Wogombea chini ya miaka 35, Kati ya 36 - 44...
Twende twende........
Mashavu kama unapuliza moto
Twende twende........
Sura imekunjamana kama ngozi ya goti
Twende twende .......
Kope za macho zimekomaaa hadi ukifumba zinatoa cheche...
Nakumbuka enzi hizo kuna jamaa alikuwa anaitwa Madeje au Mzee wa Zagafula shule ya Msingi...
Haya mambo ni utata mtupu tuelimishane jamani.
Hivi hizi Articles of Union zipo ndani ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano Tanzania (KJMT) ? Ama pamoja na Katiba ya Zanzibar(KZ)?
Kama zipo sehemu zote mbili je mabadiliko ndani ya KZ inabidi yaridhiwe na upande wa Muungano? Au yanakuwa binding...
Ama kweli ukipanda bangi usitegemee kupata mchicha!
Mleta habari katuhabarisha jamani katika lile fuku fuku la maafisa ardhi kinondoni kuna ofisa fulani anamiliki viwanja 94 kati ya 130 katika eneo moja lilopimwa! Watu wanahoji kwani kavunja sheria gani?! Jamani!
Jamani wengi tunajua...
Hatutamsahau bwana Suarez 'The Cheater' kwa kuinyang'anya Afrika tonge mdomoni.
Wenye data waziweke hapa lakini nimebaini characters za asili za watu nazo huchangia sana kwenye soka!
Waamerika kusini wanaonekana ni watu wa kucheat cheat sana ili wapate mafanikio. Ukarimu wetu unatuponza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.