Lakini nnavyojua mimi ukitaka kwenda Zanzibar unachukua Boat pale Posta au ndege (Kutokea Dar es salaam ).
Usumbufu unaouzungumzia ni upi kati ya huu?
1:Usafiri Mbovu
2:Nauli kubwa
3:Au kama kuna usumbufu mwengine uweke wazi
Ahmadi Rashid anaingiaje hapa ? Nimetoa sababu zangu tatu hapo juu ...jaribu kuzipa changamoto hizo sababu. nje ya hapo utakuwa unataka kuleta malumbano ya CHADEMA na CUF.
Ahmadi Rashid anaingiaje hapa ? Nimetoa sababu zangu tatu hapo juu ...jaribu kuzipa changamoto hizo sababu. nje ya hapo utakuwa unataka kuleta malumbano ya CHADEMA na CUF.
Naelewa kuwa unaweza kuoa mahali popote pale duniani--
Nisochotaka mimi ni ule usumbufu wa kulipia kibali cha kuishi nchini na mambo mengine kibao,nadhani umenielewa.
Habari wana JF !
Kumekuwa na mijadala mingi kuhusu muungano hivi karibuni.
wengine wanataka serekali moja,wengine wanataka serikali tatu na wengine wanataka uvunjwe kabisa.
Binafsi sitaki muungano uvunjike kwa sababu zifuatazo:
#1: Baba yangu ni Myeramba na Mama yangu ni Mpemba { Hii ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.