Ni vizuri tu... cha muhimu usiparamie mtu, chukua nafasi yako kumfahamu. Maisha ya wengi saivi yapo mtandaoni ata ibada tunaangalia azam tv... so ni sehemu sawa tu kuapata mwenza
Naona saivi utumishi wanaita direct kwenye oral kwa nafasi za kufundisha... sie tuliitwa oral moja kwa moja. Jiandae tu kuandaa presentation na kupresent
Yaani nyuzi za namna hii zinahuzunisha... inaonesha miaka inayokuja tutakua na watumishi wa aina gani... watu wanajali sana maslahi kuliko kazi yenyewe.
Ata kama umesoma ajira portal haitambui hilo watakugomea. Ila kwanini unajisumbua kuuliza hapa... jaribu kuapply upate jibu la uhakika.
Pia interview yao hutoboiiii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.