Kwa post hii ni dhahiri ng'ombe Mko wengi sana TZ. Kwa hiyo wewe uko tayari mtoto wako ale hayo machakula ya msaada yaliyoritubishwa Ambayo hatujaomba?
Hivi nikikuletea msaada pale home kwako wa chakula kama hicho Si utasema ni dharau Au wewe utakula? Bila shaka wewe ni Mgogo wa Dodoma njaa...
Hongera Bashe. Pinga Kwa nguvu zote hatuhitaji kuharibiwa watoto wetu
Tanzania si nchi ya kusaidiwa chakula
Kwa nini wasiisaidie Sudan kusini watu wanakufa njaa. Kuna kitu nyuma ya pazia
Huu ni uwekezaji mkubwa wa Marekani kuzalisha kizazi cha mashoga. Hii nchi imekuwa rahisi sana kuingilika na kila mtu. Nachelea kusema Serikali ni dhaifu sana
Hivi Sisi watanzania ni wakupewa chakula kweli Wakati tunalisha Kenya, South Sudan na wengine
Hata ukiwa mjinga si unaelewa kuna kitu...
Kwa sababu ya kiherehere. Ndio Mke wa kwanza wa Mmarekani Africa Ngoja waende Haiti kwanza ...Tataenda kuzika kila wiki, Alshabab Hawajamalizana Leo wanaongeza Haiti.
Tuna wasomi wajinga Sana.
Ukituhumiwa jibu tuhuma basi
Hatua za kuchukuliwa Sio kazi yako Kwa sababu haina maana ulivyojibu Ndio ukweli
Tatizo unachanganya siasa Kwenye kazi za taaluma. Haifai hata kidogo
Mkurugenzi Jenga kujiamini
Jitoe mapema upone. Utajuta. Nimebahatika kusoma habari yote.
Ushauri wangu ni huu.
Umeonyesha udhaifu mkubwa Sana
Na hayo Ndio madhara ya kulelewa na Single mother.
Umeombwa hela ya kusuka unakataa Je akiwa Mke? Elewa alikupima aone kama Dawa anayokupa imeingia Pale uliporeact ukakataa
Kutoa...
Nikisema Ile ajali ni mtu alijitoa mhanga Nitakuwa nimekosea?
Kwa vile kama alikuwa ni Dereva ilikuwa haina sababu kufika pale ajali ilipotokea. Yalikuwepo maeneo mengi nyuma ya kuiingia shambani Ikawa salama na Isilete madhara yeyote. Mimi kama Dereva wa mda mrefu nadhubutu kusema lile ni...
Habari wadau
Nipeni muda kidogo nitawajuza uharibifu ni wa kiwango gani lakini ukweli ni kwamba hali ni mbaya sana, watu wengi wamefariki.
Kwa wasiojua Ngaramtoni ni Arusha, Nairobi Road.
Kwa kifupi ni kwamba imeua wazungu wengi sana. Walikuwa kwenye Coaster pamoja na Raia na waendeshaji wa...
Sheria haioni ndani kweli pesa. Mawakili wetu wanajua kuchangamkia fursa. Ndio maana Magu alikuwa hataki ujinga
Jamaa walikuwa wanavuta muda kidogo watanzania wasahau
Tafuta pesa sana Utaipenda hii nchi. Kesi ni Biashara nzuri Tanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.