Mbunge wa Sengerema na Waziri wa zamani wa nishati na Madini Ndugu William Ngeleja anategemea kutangaza nia kwa ajili ya kuteuliwa kuwania uraisi na chama chake cha CCM mnamo tarehe 04/06/2015 jijini mwanza kabla kuelekea makao makuu ya nchi kwa ajili ya kuchukua fomu, Ameyasema hayo leo jioni...
Hapo Zitto Kabwe akiomba kura kuchaguliwa kuwa Kiongozi wa Chama.
Nataka kuuliza tu kwa wale wajuzi wa Mambo hivi Kuna tofauti gani kati ya Kiongozi wa Chama na Mwenyekiti wa Chama, Hapa nani atakuwa Kiongozi mkuu wa Chama?
=======UPDATE=======
=====UPDATE=====_
Kama umedownload au kutumiwa wimbo unaosemekana kuwa ni wa Diamond featuring P-Square na pamoja na kuusikiliza kwa mara kibao ukashindwa kusikia sauti ya Paul au Peter Okoye, basi sikio lako halikudanganyi – hakuna collabo hiyo.
Wimbo huo unaitwa ‘Marry Me' ni wa Iyanya ambao...
Warioba, Zitto wajadili escrow
Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba (kushoto), akizungumza na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe. Masaki Dar es Salaam
Dar es Salaam. Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba...
Leo ni siku ya kuzaliwa kwa mwana bongo fleva Ally Kiba Tumtakie maisha marefu na yenye baraka
N:B Sitarajii kama huu utakuwa uwanja wa Kupambanisha watu tumtakie tu Ally Kiba heri ya siku/tarehe ya kuzaliwa
Hatimaye Lady Jaydee amethibitisha kwa kauli yake mwenyewe
kuwa ndoa yake na mtangazaji mkongwe wa redio, Gadner G
Habash imevunjika.
Akiongea leo kwenye Exclusive Friday ya kipindi cha Sunrise cha
Times FM, Jaydee amesema ni yeye ndiye aliyeamuacha Gadner.
Kwenye mahojiano hayo, Jide...
Wimbo Umetayarishwa na Producer Man Walter wa Combination Sound na Video inatarajiwa kutoka wiki ijayo ikiwa imetengenezwa na Adam Juma wa Visual Lab
Lady Jaydee ft Dabo - Forever by Mashaka Kisusi - HulkShare
Kwenye huu uzi hapa chini kuna ndugu zangu walikomaa kweli wakipingana na hiki alichokisema diamond leo Diamond umethibitisha mwenyewe
www.jamiiforums.com/celebrities-forum/754935-diamond-ameonesha-njia.html#post11116555
The National Council for Technical Education (NACTE) would like to inform you that the deadline for transfers (applications and allocation to new institutions) was on 3rd November 2014. A list of students showing new allocations as per their applications has been posted in/on the NACTE website...
Kupitia ukurasa wa Facebook wa Presenter Loveness Love - Diva amesema East Coast Team wako Studio kwa Marco Chali wakiandaa Wimbo Mpyaaa
====AY pia ====
Yafuatayo ni mambo matano yanayomuhusu Ali Kiba ambayo
DStv.com kwenye Exclusive interview imeyapata, baada ya kukaa
nae na kumuuliza maswali mbalimbali.
1. Anasema amemaliza kuijenga nyumba yake toka mwaka 2007 na
ni kutokana na pesa za muziki, anasema kila mwenye kipaji cha
muziki akifanya...
Kupitia ukurasa wake wa Instagram kaweka hii Chorus bila shaka inaweza kuwa na ujumbe flani hasa hasa kutokana na minong'ono ya kuvunjika kwa ndoa yake
Katiba Mpya izingatie yafuatayo;
1.Nyama iuzwe kwa bei ya dagaa
2.Nauli ya ndege kwenda Afrika Kusini iwe
bure kwa sababu ni mteremko
3.Sukumawiki ichunguzwe kwanini haiwezi
sukuma mwezi au mwaka?
4.Siku za mwizi zifike 70 sababu uchumi
umekuwa mgumu
5.Njiti za kiberiti ziwekwe pande...
National Council for Technical Education (NACTE)
INTERIM REPORT ON FIRST BATCH SELECTION
13th September, 2014
The first selection of candidates into Bachelor Degree programs
has been conducted and below is a brief summary of the
process.
The overall capacity for Bachelor degree programs...
PUBLIC NOTICE
The National Council for Technical Education (NACTE) would like to inform you that the deadline for application into Bachelor Degree programmes through the Central Admission System (CAS) has been extended to 31st August 2014. The deadline has been extended to allow diploma...
Wote hawa ni Maproducer wakubwa ni moja ya mapeoducer wa Mwanzo kabisa walionza na mziki wa bongo fleva
wote hawa wana mchango mkubwa katika kuku kwa mziki wa bongo fleva Master Jay akitokea studio za MJ records na Majani akitokea katika studio za bongo records
Sasa wadau kwa mtazamo wenu...
Fifa has announced the shortlist for the 2014 Golden Ball, the
prize awarded to the best playeru Fifa has announced the shortlist for the 2014 Golden Ball, the
prize awarded to the best player at the World Cup.
Argentina have three nominees in Angel Di Maria,
Javier Mascherano and...
Wadau huwa kuna kitu kinanichanganya kidogo kuna hawa watu wawili huwa sielewi hasa yupi ni manager wa TipTop Connection (Bonge na Babu Tale) naomba ufafanuzi kidogo kati ya hawa nani ni manager wa wa TipTop Connection
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.