Nahitaji mchumba wa kua naye kimahusiano ya kimapenzi
MASHARTI:
Awe na umri kuanzia miaka 18 hadi 27, mimi nina 25
Awe mrefu
Awe mweusi
Awe na matiti ambayo hayajalala
Awe na mwili wenye mvuto
Awe na makalio makubwa, japo sio makubwa sana lakini yawe ni yenye kuvutia
Asiwe anaweka nywele za...
Duni: Mahujaji hawakuipigia kura katiba inayopendekezwa
Na Nassor Khamis.
Suala la wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba waliokuwa kwenye ibada ya Hijja katika miji ya Makka na Madina chini Saudi Arabia, kupigia kura rasimu ya katiba inayopendekezwa na Bunge hilo sikweli.
Hayo yalielezwa na...
Katika thread ya yangu ya karibuni niliandika ATHARI ZA MUUNGANO WA UPINZANI WAANZA KUONEKANA ZANZIBAR, na pia nikawanukuu baadhi ya watu waliosema watafanya kila hali kuhakikisha muungano wa CDM, CUF n NCCR wanauvunja kabla ya kuleta athari kwa chama tawala.
Moja kati ya mbinu watakayoitumia...
Baada ya muungano wa upinzani kufanya mkutano wa kihistoria ktk viwanja vya kibandamaiti jumatano iliyopita, viongozi wa CCM ZANZIBAR wameanza kuchanganyikiwa. Katika kutuliza hofu ya baadhi ya wafuasi wao, wameanza kufanya MIKUTANO YA NDANI wakiwaambia kuwa watafanya kila hali kuhakikisha...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, katibu mkuu wa CUF Maalim seif sharifu hamad amemsifu na kumpongeza kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni freeman mbowe kutokana kuonesha ujasiri wa hali ya juu kupinga kile alichokiita udhalimu wa naibu spika. Amesema hoja iliyotolewa na wabunge wa upinzani ya...
Anaezijua tabia za mabinti wa kipemba anisaidie couse nataka nend Pemba kutafuta my waif wa kipemba but c wajui tabia zao than mi ni mtanganyika je 2tawezana? USHAURI.
Leo nimeenda kigambon nimeskia harufu mbaya pale mlangon karib na sehem ya
kuzia tiket (mlangoni) iv maguful halijui hili au ndio 2pige mbizi cc wengine akina masawe maji hatuyawez? Yani
haruf mpaka mwenzangu katapika.
Usiombe
kuwa na haraka halafu njian ukakutana na Rastaman akakusalimia utatamani ardh
ipasuke uingie mana rasta nusu saa haimtosh kusalimiana than wewe unachelewe.
Usiombe kuwa mzanzibar halafu ukamskia mtu wa mrima
(mtanganyika) akawa analalamikia mungano km unawanyonya wamrima utajuta...
kwani km Wazanzibar hawautak mungano ya ni kuwalazimisha c wachwe tu na nyinyi wamrima mudai tanganyika yenu muache kutawaliwa na mawazo ya kinyererenyerere .
baadhi ya wananchi katika maeneo mbalimbali ya mji wa zanzibar wameulalamikia mchakato wa kuwapata wajumbe watatu watakaoingia katika mkutano wa kujadili katiba mpya ngazi ya shehia. baadhi ya malalamiko ni baadhi ya viongozi wa shehia kudaiwa kuingilia kati na kukiuika sheria za tume
kwa hali inavyoonesha mchakato wa katiba mpya huenda usifanikiwe kutokana na baadhi ya watu kutuhumiwa kuuingilia kati kinyume na utaratibu uliowekwa na tume ya mabadiliko ya katiba
Nisaidieni kunipatia majibu ya suali hili:
Mtanzania mmoja yupo London akawaagiza ndugu zake wamuolee mke, Wakamuolea (kufanya hivi katika dini ya Kiislamu inaruhusika lakini huwezi kumuingilia mwanamke, sina hakika kuhusu dini zingine). Jamaa akaja Tanzania kukutana na mkewe. Mara tu baada ya...
Mimba noma, kuna jamaa
alitolewa night kali akatafte
vitango tena kwa kilio, ikabidi jamaa amuamshe muuza vitango tena mbali na home kwao, jamaa aliporudi akaambiwa avioshe na avimenye then avikate alipomaliza akavipeleka, mwanamke akamwambiwa akae chini ya maskio ya mkewe avitafune vyote...
TANZANRA NI NCHI YA MAAJABU SANA! HEBU ANGALIA MFANO MDOGO WA MAJIBU YA WATU TULIOWAPA DHAMANA YA KUTUONGOZA!!
MWANDISHI: Mheshimiwa...ASALAAM ALYKUM?
WAZIRI: Waaleikum salaam!
MWANDISHI: Mheshimiwa hivi punde tumepata habari kuwa jengo maarufu hapa
Mjini Unguja hapo maeneo ya...
sasa hivi wimbi la kutekwa nyara kwa wanaharakati mbali mbali nchini likiwa linaendelea, ambapo alianzia kutekwa nyara dr steven ulomboka kwa kudai haki za madaktari, pia ametekwa sheikh farid. My take.... Je nani atafuata kutekwa nyara? Je...
Askari usalama ameuwawa baada ya kufyatuliwa risasi na mwenzake kimakosa wakati akiwa katika harakati za kulilinda baa la mbawara lilioko aman mjini hapa. Katika tukio hilo askari mwengine alijeruhiwa kwa kupigwa risasi kwenye mguu. Eneo la...
Chama cha mapinduzi kimepanga mbinu tofauti kuhakikisha katiba mpya inayotarajiwa kutungwa na watanzania haitoweza kutumika wakati wa uchaguzi mkuu ujao (2015).
Kwa mujibu wa wajumbe wa CCM (zanzibar) waliorudi tanzania bara hivi karibuni, wamenukuliwa wakisema kuwa mikakati hiyo ni ya aina...
Kamati ya wazee
haikubaliani na uamuzi
wa kuwafutia matokeo
wanafunzi wale tu
walioshutumiwa
kufanya udanganyifu bali kuwafutia wote
kwa kuwa mitihani
ulivuja. Kufuatia hoja
hizo za msingi Baraza
halina budi kukubali
kurejewa kwa mitihani kwa Zanzibar, na Baraza
litapungukiwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.