Dah hata kama ni ushabiki kindakindaki, nahisi hata utoto utakua nao pia. yaani
ni kama unasimulia movie flani hivi halafu kwa pembeni watu wanakusikiliza. Ngoja nikuvumilie labda utabadilika
Duh, nimesoma marambilimbili nimegundua kitu Russia wana miamba. Just imagine hayo ni maandishi tu ila ujumbe ni mzito utafikiri mtu anaongea moja kwa moja. Heshima kwa Russia jamani
Yaani we jamaa kama ningekua jirani ningekupiga banzi, huo sio ubishi bali ni ujuwaji usiokua na maana. Kubali kujifunza kutoka kwa wenzio na sio ilimradi keleta ligi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.