MKEKA WA Christina Mwagala (Msemaji wa klabu ya KMC) [emoji1614]...
Kwa mara ya pili leo narudi tena kuzungumza na baadhi ya watu ambao wanajiita wachambuzi.
Tangu jana baada ya kumalizika kwa mchezo wetu dhidi ya Yanga ambao tulipoteza kwa goli moja kumekuwa na picha zenye maandiko ambayo sio...
Habarini wanajamvi, kutokana na shida ya Maji iliyojitokeza ivii karibuni na kupelekea mgao wa Maji na watu kukosa maji na hivyo watu wengi kutegemea Maji ya kununua kwenye Haya Magari ya kusambaza na kuuza Maji lakini demand imekua kubwa mno na kupelea Haya Magari kuwa busy mno na kama una...
Kwenu Young Africans (Yanga), HAIJAISHA! Ndiyo kwanza kipindi cha kwanza, huwa mnashinda kipindi cha pili,
kila la kheri kwenye kipindi cha pili huko Sudan mkapindue meza.
[emoji1614] Wanaandika wana-Mangushi (Coastal Union) <Twitter>
Anaandika Edo Kumwembe... ✍️
Ninachohisi ni kwamba sio kwamba huyu Mrembo na wenzake wanamtaka Dejan...nadhani wamemuweka katika mtego kwamba yeye ndiye avunje mkataba ili wasimlipe.
ndo maana wakatoa ile taarifa. Akili nzuri. Mzungu sasa avunje tu mwenyewe. Na kama ikitokea hivyo itabidi...
Wale mashabiki wa makolo walio mshambulia sana tena sana Shaffii Dauda Jana kwa andiko lake kuhusu hali ndani ya Simba kutokua sawa, na ata akadhibitisha kwa kuambatanisha na video ya Dejan akitaka kuzichapa na Okrah lakini bado wakawa wanabisha na kukataa katakata.
Na akatoa angalizo la kwamba...
Anaandika Shaffi Dauda
Simba kuna vitu havipo sawa, lakini ni zile zile stori za kuvalishana suti kwenye vumbi au kuifunga Bugati injini ya bajaj ila haibadili kuwa kuna mengi hayapo sawa.
Tazama vyema hii clip, tazama namna Dejan na Okrah walivyotoshana nguvu, haya tunayaona sisi uwanjani...
Vodacom Early Careers Programmes 2022 (Programu za Ajira za Mapema za Vodacom 2022)
Maelezo:
Vodacom, tunafanya kazi kwa bidii ili kujenga maisha bora ya baadaye. Ulimwengu uliounganishwa zaidi, jumuishi na endelevu. Kama jumuiya ya kimataifa yenye nguvu, ni roho yetu ya kibinadamu pamoja na...
Enyi Mitandao ya simu Tz ebu kueni basi na huruma, hata kama ni shinikizo kutoka serikalini kunyonya tozo vilivyo, Onyesheni basi kutujali sisi wateja wenu
Sio nanyie kuendelea kutubana kwa kuondoa baadhi ya bando, kuongeza bei za bando nk.
Haswa tukiwa tunakimbizana na dunia, kwenda sambamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.