Hii ramani kali sana, nimeipenda ni nyumba ya vyumba viwili, nimeitoa huko Twitter kwa mnigeria, mwenyewe anadai anaweza kukujengea nyumba kama hiyo ya kwa Naira milioni 5 tu ambapo hiyo ni sawa na milioni 15 na laki 9 kwa pesa za kibongo (15,907,496.08)
Yule jamaa kama ni kweli anaweza kujenga...
Nitakachoenda kukieleza kitakuwa sio kigeni sana kwa watu waliofuatilia story yangu ambayo ilikuwa ni Live Story/True story ambapo story yenyewe nilianza kuipost humu mwezi kama huu July tarehe 6 mwaka jana 2022. Hatma ya Maisha yangu ipo mikononi mwa kijana wa Buguruni ndio kichwa Cha story...
EPISODE 01, SEASON 01
Wakuu nahitaji ushauri wenu ili niweze kufaulu katika huu mtihani, nimepewa kazi kubwa ambayo nikifaulu basi milango mingi itafunguka huko mbeleni.
Kuna Mzee flani huwa tunashirikiana kikazi na mara nyingi mizigo yake huwa anaiagiza kupitia Kampuni yetu, ni Mfanyabiashara...
Kama mamlaka ikisema kile kiasi Cha fedha ulichonacho Bank sasa hivi au hata M-Pesa ongezea sifuri mbili tu then utoe hizo pesa uwe nazo Cash,
Hatutaki kujua kiasi utakacho kuwa nacho baada ya kuongeza hizo sifuri 2, bali swali ni je Utaweza kumudu kununua Dream Car yako au kujenga your Dream...
Asee kuna watu wanajeuri na madharau katika hii Dunia sijawahi ona, Leo ilikuwa ni safari ya kurudi home baada ya kukamilisha kilichonileta huku, nimetoka sehemu niliyofikia (Donholm) fresh sihisi njaa nimepanga nifike Border ndio nipige msosi wa Nguvu (Supu chapoo ya kibongo) Supu za huku...
Nimekuja kugundua kwenye hii Dunia hutakiwi kuwa mtepe mtepe, usifuatishe kila kitu kilivyopangwa utaishia kuishi kinyonge sana na Dunia ya Sasa inataka watu wakakamavu, walio serious na maisha haswa,
Labda kama umeridhika na maisha unayoishi lakini kama mawazo yako ni Utajiri au kupata pesa...
Mababu zetu wamepitia mengi acheni tu, licha ya wazungu kuwatumikisha vya kutosha pia wazee wetu walikuwa wanabandikwa tunda la apple kwenye midomo yao kabla ya kuvalishwa kinyago cha chuma (metal mask) na kufunga na kufuli ili wasiweze kuzungumza.
Mask hii ya chuma (Pichani) ilivaliwa wakati...
Jamii Afya naombeni kueleweshwa hili jambo, kawaida yangu ni kwamba kabla sijatoka nyumbani kuelekea kazini ni lazima nipige chai na kipolo au chapati za mama juma Nishibe halafu nikifika kazini napita na zile bite bite
Sasa kiporo changu leo Asubuhi nimekikuta na sisimizi, ni salama kula...
Jana nilienda Barbershop kufanya usafi wa kichwa, Sasa Barbershop ninayoendaga Jana ikawa imefungwa, nikaenda ya jirani yake yenyewe ni kali zaidi, kwanza Barbershop yenyewe inakuogopesha kuanzia Nje hizo ndinga zimepark hapo mzee wangu
Basi nikachoma ndani, Sasa nilivyoingia tu yale mazingira...
Wadau hope wote ni wazima humu.
Kuna bidhaa nataka kuleta Bongo kutoka china (mfano wa bidhaa hapo chini pichani) Sasa nina wasiwasi na soko, nisije nikashusha mzigo na ukanidodea
Kuna baadhi ya Products hapo pichani kuzipata ni utazunguka sana hili jiji na pengine usizipate kabsa, Sasa hicho...
Wenye miaka 35 kuendelea sio wakupewa lecture, wewe tayari ushaijua Dunia, kama Bado basi umechelewa sana
Acha niongee na madogo wa 20 to 34
Madogo nyie Wakati wenu ni Sasa Usikubali kuridhika na wakati ulionao; huna muda wa kutosha. Ikiwa hautazingatia muda wako, miaka itapita na hakuna...
Wote tunajua umuhimu wa kuoga na kila mtu ana ratiba yake ya kuoga ukiachana na wale wanaooga mara mbili kwa siku Kuna sisi ambao kuoga kwetu ni mara moja tu kwa siku, so ni kuchagua tu mwenyewe uoge Asubuhi au Usiku
Binafsi napenda kuoga Asubuhi mara nyingi, ni mara chache sana naweza kuoga...
Kwenye hii Dunia ya vita ili u survive unahitaji uwe na silaha nyingi za kivita, usitegemee silaha ya aina moja tu, lakini Kuna siraha zingine ni Hadi Mungu mwenyew akubariki nayo
Siku hizi kuwa na vyeti tu haitoshi, inabidi uwe na sifa za ziada ili kupata mkate wako wa Kila siku, japokuwa...
Ndugu usisite kujibu hili swali sababu utakuwa umewasaidia wengi, Watu wanafurahi sana kujua kuhusu Biashara/Taaluma na kazi za watu wengine na nadhani baadhi yao watahamasishwa na majibu yetu.
Hata kama ni Biashara share nasi aina ya Biashara unayoifanya na faida unayoipata, baada ya majibu...
What is 934,752,213,849,592,139,365,634 in words?
Swali lijibiwe kwa kizungu, kiswahili tutachanganyana
Ukipatia ipo shilling elfu 50 za kitanzania, serious
Kuna jamaa leo kaniharibia siku mapema sana, Nimekutana nae kwenye Daladala tumekaa Siti moja Mimi nikiwa naelekea kazini mkononi nimeshika baadhi ya mafile na laptop,
Kosa nililofanya ni kumuuliza jamaa saa, ikawa kama vile ndio nimefungulia maongezi, baada ya kunijibu "saa mbili kasoro"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.