Search results

  1. M

    Hatimaye biashara za Generators na Solar zarejea kwa kasi ya ajabu nchini Tanzania

    Ni baada ya umeme kukata ovyo kila saa, bila mpangilio maalumu nchini, na kupelekea hasara za ovyo kwa Wananchi na kwa Taifa, hususani uharibifu mkubwa wa vyombo vitumiavyo umeme. Pia kuzorota na kudorora kwa shughuli za kiuchumi zitegemeazo umeme na kupelekea kudumaza na kushuka kwa pato la...
  2. M

    SoC01 Serikali ifanye nini kukuza uchumi wa viwanda nchini na kutengeneza ajira

    Ili kukuza uchumi wa viwanda nchini na ili viwanda viendelee kuwepo, kuzalisha na kutengeneza ajira kwa watanzania ni lazma yafuatayo yatekelezwe; Kuwekeza kwenye kilimo cha umwagiliaji, kama chanzo cha malighafi za kwenda viwandani Tanzania ni nchi kubwa sana na sehemu isiyoishi watu (mapori)...
  3. M

    Umuhimu wa kuheshimu watu wengine

    HEBU ANGALIA UMUHIMU WA KUHESHIMU WATU WENGINE KWENYE DUNIA HII i. Kuzaliwa kwako kumefanywa na watu wengine. ii. Jina lako umepewa na watu wengine. iii. Umepata elimu kutoka kwa watu wengine. iv. Kipato chako kwa namna fulani kinatoka kwa watu wengine. v. Hata Heshima uliyonayo unapewa na...
  4. M

    Ushauri: Serikali na Ajira

    Muda/umri wa kustaafu Serikalini ikiwemo sekta binafsi. Wafanyakazi wote wapunguziwe umri wa kustaafu na kuwa walau miaka 55 badala ya 60, siku hizi life span ya mwanadamu imekuwa ndogo, hii itasaidia watoke na walipwe stahiki zao mapema na kuzifurahia wakiwa na nguvu angali wako hai. Pia hii...
Back
Top Bottom